Naomba msaada kwa wale wataalamu wa lugha

Naomba msaada kwa wale wataalamu wa lugha

Spike Lee

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
625
Reaction score
272
Kiswahili ni lugha fasaha na rahisi sana kwa mwenye kutaka kuielewa; nimeombwa niwaulize wajuvi waliobobea kwenye lugha hii mambo hayo
1. Zinaa
2. Mzinifu
Je ni sifa zipi unapaswa uwe nazo ili uitwe mzinifu; je ikiwa ni sahihi mwizi kuitwa mwizi; je ni kosa kwa mzinifu kuitwa mzinifu?
 
Back
Top Bottom