Aisee jaribu kuwacheki kwa simu yao Bure Huduma kwa Wateja 0800116773 utapewa Mwongozo hapo.mm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Wapigie hiyo yes
Nenda offisi ya nssf yoyote tafuta mtu wa compliance officerz wamkague mwajiri wako, yani atapigiwa hesabu tangu alipokuajiri mpaka sasamm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nenda offisini usipige simu kila mkoa na wilaya offisi za nssf zipo na zina wakaguzi wa kila eneo watakuja kumkagua mwajiri wakomm ni mwajiriwawa kampuni fulani hapa nchini mwajiri wangu ananikata nssf lkn kule hapeleki ni mwaka wa 3 sasa kila nikiangalia salio hamna kitu nifanyeje ili kuhakikisha pesa yangu inafika sehemu husika
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Wazembe hao ni tawi gani hilo
Nenda tena waambie umetumwa na DO(ila sio mimi) mshughulikie swala langu mwajiri haleti michango yangu ni mkahidi kucomply na sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii na nimeshalitolea report mara kwa mara bila majibu,
Utaleta mrejesho hapa