Utaua bure,mpeleke hospitali mgonjwa wako kuna dawa zingine haziuzwi madukaniwakuu nawasalimuni sana, naomba msaada kwa hili ndugu.
nimeshazunguka hii dar mpaka nimechoka kila duka halina hii dawa.
ni ya kumsaidia mama mjamzito kujifungua kwa maelekezo ya daktari ameshaitiliza siku za kujifungua kwa hio hio dawa itakuwa ni ngumu sana kujifungua. naombeni sana wa kuu.
Mkuu nenda agakhan hospital dar es salaamwakuu nawasalimuni sana, naomba msaada kwa hili ndugu.
nimeshazunguka hii dar mpaka nimechoka kila duka halina hii dawa.
ni ya kumsaidia mama mjamzito kujifungua kwa maelekezo ya daktari ameshaitiliza siku za kujifungua kwa hio hio dawa itakuwa ni ngumu sana kujifungua. naombeni sana wa kuu.
Pole sana mkuu afu inaitwa dinoprostone it's vaginal tablet used to induce labourwakuu nawasalimuni sana, naomba msaada kwa hili ndugu.
nimeshazunguka hii dar mpaka nimechoka kila duka halina hii dawa.
ni ya kumsaidia mama mjamzito kujifungua kwa maelekezo ya daktari ameshaitiliza siku za kujifungua kwa hio hio dawa itakuwa ni ngumu sana kujifungua. naombeni sana wa kuu.
Sinza kwenye maelfu ya baa?mpaka sasa yupo sinza siku ya 3 mkuu nani dactar ameshauri hivyo
nashukuru sana ndugu yangu hakika hii walio tuandikia nimeanzi kariakoo sinza manzese mwenge tegeta mapaka bunju kwa kweli wamesema hio dawa hawanayo.Kwani hakuna dawa nyingine za kuinduce labor tofauti na dinoprostone?Mbona oxytocin ziko nyingi tu ila zinatoka kwa prescription
Mwambie huyo daktari awasiliane na mfamasia wa hiyo hospital apewe ushauri wa dawa mbadala za kuamsha uchungu.
Hebu tuwasiliane nijaribu kukutafutia maduka ya jumla oknashukuru mkuu nitaipata wapi ndugu
laiti ndugu yangu ningepata hio nafasi ya kumpa chochote huyo mhudumu au dactari nisingejiuliza mara 2 lakini sina uzowefu sana na hii dar ndio maana nahangaka mkuu.Sinza kwenye maelfu ya baa?
Anyway sisemi sana ila jipange next time upate hospitali nzuri na daktari,
Komaa nao labda wanataka hela ya supu,wapeeeee,usifate ya wana siasa,nchi yetu kusaidiana,wape hela ya OMO kufulia makoti,maafande tunawapaga ya kiwi,
Kabisa,hiyo dawa wanayo japo,watakuwa wanamzinguaUsiwe mgumu tenga tu wekundu wa 5 mpe afanye mambo usiwafuate wanasiasa
Siku 3 mmemuweka mgonjwa hospitali?mpaka sasa yupo sinza siku ya 3 mkuu nani dactar ameshauri hivyo