Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Mimi ni mmoja wa wanufaika na mikopo ya serikali kupitia halimashauri.. mungu akipenda mapema mwanzoni mwa mwaka nitamaliza mkopo na Nita omba mwingine..Sasa nahitaji kununua gari nifanye tax kwa njia ya mtandao. Kama Uber na mitandao mingine kwa ujumla Sasa naomba wazoefu watusaidie kazi hii inalipa? Na Aina gan ya gari zinafaa zaidi? Na msaada mwingine ikibidi kwa walio wazoefu plz...