Naomba Msaada: Namna ya Kuukana Uraia wa Tanzania

Naomba Msaada: Namna ya Kuukana Uraia wa Tanzania

mkulima101

Member
Joined
May 23, 2017
Posts
10
Reaction score
5
Habari za Majukumu,

Naomba kufahamishwa namna/hatua za kufuatwa ili kuukana Uraia wa Mtoto Mtanzania aliyepo Tanzania. Mzazi wake Mmoja ni Mtanzania na mwingine sio Mtanzania.

Natanguliza Shukrani.

Nyongeza:
Mtoto amepewa Uraia wa Mzazi Mwingine ambaye Sio Mtanzania.
 
Habari za Majukumu,

Naomba kufahamishwa namna/hatua za kufuatwa ili kuukana Uraia wa Mtoto Mtanzania aliyepo Tanzania. Mzazi wake Mmoja ni Mtanzania na mwingine sio Mtanzania.

Natanguliza Shukrani.

Nyongeza:
Mtoto amepewa Uraia wa Mzazi Mwingine ambaye Sio Mtanzania.
Fanyeni fasta!
 
akichukua uraia wa hiyo nchi nyingine automatically atakuwa ameukana uTanzania

Passport yake ya Tanzania inabidi kurudishwa Uhamiaji?

Hakuna viapo vyovyote kwa mzazi as ni chini ya 18?

Shukran.
 
Mtoto yupo Tanzania ila unataka uukane uraia wake ili aishi Tanzania kama mgeni?

Mtoto chini ya miaka 18 anaweza kuwa na uraia-pacha, kadhalika kutumia pasi ya TZ au ya nchi nyingine kwenye safari zake. Akifika miaka 18 na Kama ataamua kuwa raia wa nchi nyingine automatically atakua kajivua uraia wa TZ, huhitaji kufanya kitu chochote labda kuichoma pasi yake au kuitunza kama kumbukumbu au kuirudisha uhamiaji Kama uta wiwa na muda ukikuruhusu.
 
Mtoto yupo Tanzania ila unataka uukane uraia wake ili aishi Tanzania kama mgeni?

Mtoto chini ya miaka 18 anaweza kuwa na uraia-pacha, kadhalika kutumia pasi ya TZ au ya nchi nyingine kwenye safari zake. Akifika miaka 18 na Kama ataamua kuwa raia wa nchi nyingine automatically atakua kajivua uraia wa TZ, huhitaji kufanya kitu chochote labda kuichoma pasi yake au kuitunza kama kumbukumbu au kuirudisha uhamiaji Kama uta wiwa na muda ukikuruhusu.

Shukrani kwa Maelezo.
 
Je nikikana uraia naweza kupata uraia wa nchi nyingine kwa urahisi?
 
Back
Top Bottom