mkulima101
Member
- May 23, 2017
- 10
- 5
Habari za Majukumu,
Naomba kufahamishwa namna/hatua za kufuatwa ili kuukana Uraia wa Mtoto Mtanzania aliyepo Tanzania. Mzazi wake Mmoja ni Mtanzania na mwingine sio Mtanzania.
Natanguliza Shukrani.
Nyongeza:
Mtoto amepewa Uraia wa Mzazi Mwingine ambaye Sio Mtanzania.
Naomba kufahamishwa namna/hatua za kufuatwa ili kuukana Uraia wa Mtoto Mtanzania aliyepo Tanzania. Mzazi wake Mmoja ni Mtanzania na mwingine sio Mtanzania.
Natanguliza Shukrani.
Nyongeza:
Mtoto amepewa Uraia wa Mzazi Mwingine ambaye Sio Mtanzania.