Naomba msaada nataka nifungue kijiwe cha kahawa

UNCOMMON LIFE

Member
Joined
May 13, 2017
Posts
59
Reaction score
28
kuna kaka alikuja kutoa shuhuda humu, kuna mwenzetu alimsaidia basi kakimbia, amekula hela pasipo kutekeleza kilichomfanya aombe hela.
mm nikaomba hela nifungue kijiwe cha kahawa, ili nikuze mtaji. niweze kufanya biashara kubwa zaidi.
nimechanganua kila kitu huko.
msaada wenu jamani.
asanteni sana na mbarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…