Naomba msaada ndugu zangu.

Hv jmn kweli kuna mtu anaweza fanya kitu hii kweli duuh.
 
Duh!
Amsamehe kama ameshatubu dhambi zake. Asije akaamua kumuacha akapata mwingine ambae ndie anaanza huo mchezo.
Wanawake 200 mbona wengi sana! Kidude hakijadepreciate kweli. Lol!
 
Hv jmn kweli kuna mtu anaweza fanya kitu hii kweli duuh.

Wale munaowasema wana pepo wa ngono. Sijui pepo huyo ni wa aina gani?

Mungu tusamehe waja wako kwa dhambi kubwa za aina hii.
 
jaman ki mangap sis 2namfanyia jah makubwa kuliko haya. amsameh 2 coz ata yey hajakamilika;;;;;;?
 
Amsamehe kwasababu alikuwa hajui analotenda amefunguka sasa kwenye hicho kifungo ambacho shetani alimfunga nacho.
Ni dhahiri huyo mtu hakuwa na hali ya kawaida, huwezi kutembea na dada yako halafu ukasema uko sawa.



 
Pepo la ngono maombi yatamsaidia
 
Hv jmn kweli kuna mtu anaweza fanya kitu hii kweli duuh.

Huwezi kuamini,lakini hii ni kweli kabisa,tena huyo kaka ana umri wa miaka 30 tu.ila anadai hakuwa yeye.yaani anasema alikuwa hajitambui.Anasema hata akilala na mke wake.lazima ucku atoroke na kwenda kwa house girl.na asubuhi lazima ajichue.
 
Amsamehe kwasababu alikuwa hajui analotenda amefunguka sasa kwenye hicho kifungo ambacho shetani alimfunga nacho.
Ni dhahiri huyo mtu hakuwa na hali ya kawaida, huwezi kutembea na dada yako halafu ukasema uko sawa.

Ahsante ndugu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…