Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Wakuu naomba nisaidiwe.
Nimetoka Mwanza Leo August 5 na basi la Kampuni ya Kapriconi lenye namba za usajili T 320 ADC tukiwa tunaelekea Mbeya.
Tumefika saa 3 na nusu usiku , ghafla gari ikaamua kuishia iringa na Sisi abiria kuambiwa tupande coaster na ikaondoka fasts.
Kwenye Kosta mlangoni wanadai tiketi za kwenye Kapriconi na Mimi Kwa sababu ya kushuka ghafla tiketi nilisahau kwenye Siri.
Kwa hiyo nimetakiwa kulipa tena nauli ya Iringa -Mbeya.
Naomba kujua naanzia wapi kudai haki yangu maana pia nimeshalilika na kufedheheka.
Nimetoka Mwanza Leo August 5 na basi la Kampuni ya Kapriconi lenye namba za usajili T 320 ADC tukiwa tunaelekea Mbeya.
Tumefika saa 3 na nusu usiku , ghafla gari ikaamua kuishia iringa na Sisi abiria kuambiwa tupande coaster na ikaondoka fasts.
Kwenye Kosta mlangoni wanadai tiketi za kwenye Kapriconi na Mimi Kwa sababu ya kushuka ghafla tiketi nilisahau kwenye Siri.
Kwa hiyo nimetakiwa kulipa tena nauli ya Iringa -Mbeya.
Naomba kujua naanzia wapi kudai haki yangu maana pia nimeshalilika na kufedheheka.