naomba msaada ninamatatizo ya kuumwa miguu

Konaball

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
2,949
Reaction score
1,940
habari za muda huu ndugu zangu mimi ninamtatizo ya kuumwa na miguu chini ya unyayo aswa nikitoka kulala au nikikaa chini kwa muda mrefu wakati wa kunyanyuka inauma sana je ilo ni tatizo gani?
 
chukua mafuta ya taa paka kwenye unyayo,then baada ya kama dk 5 hivi nawa tu kwa sabuni
 
chukua mafuta ya taa paka kwenye unyayo,then baada ya kama dk 5 hivi nawa tu kwa sabuni

Asante mkuu nitaenda kujaribu nifanye hivyo mara ngapi?
 
habari za muda huu ndugu zangu mimi ninamtatizo ya kuumwa na miguu chini ya unyayo aswa nikitoka kulala au nikikaa chini kwa muda mrefu wakati wa kunyanyuka inauma sana je ilo ni tatizo gani?
Pakaa hina kwenye unyayo wako utapona inshallah ukipona njoo utupe feedback.@Konaball
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…