Naomba msaada ninapata maumivu ya sikio

Naomba msaada ninapata maumivu ya sikio

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
Jamani masikio yangu yanauma kwa kuchoma choma lakini hayatoi usaha, nn shida .Yanachoma choma
Je ni hali ya kawaida?
 
Sio kawaida please nenda wakuchunguze utapewa dawa na yataacha
 
Jaman naombeni msaada wenu Nina kauka Koo nilienda kutibiwa nikaambiwa Nina madonda ya TUMBO nimetumia dawa Ila Koo Bado inakauka sikuizi nikijikokomoa naona tudamu tudogo tumechanganyika na koozi naombeni msaada wenu ivi namasikio yanauma yanakua na vichomi vichomi naombeni msaada wenu sababu naumia mno
 
Back
Top Bottom