samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 355
wataalam mwenza wangu amekuwa akikabwa na kitu shingo anasema nikama vile amekabwa na ugali au kiazi nisiku ya pili sasa,naomba kujua kukabwa huko kunasababishwa na nini? Na nini tiba yake? Natumaini nitapata majibu ya wataalam wa tiba.