Naomba msaada pgm iii-13

NingaR

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
2,759
Reaction score
591
wana jf naombeni ushauri wenu, kama inavyo onekena hapo juu yaani Gs-S,Geog-D,Phy-E na Math-D. naomba mnishauri ni course gani naweza kuchukua kwa matokeo haya.
NB:- O-level chemistry sikufanyia mtihani kutokana na sababu flaniflani. NTASHUKURU KWA MAWAZO NA USHAURI WENU.
 
hebu pitia hii mistari ya eminem kidogo
 
mkuu nimeipitia na nimeielewa, nimeomba msaada ili nisi loose hiyo 1 opportunity kama ipo

if you have one bullet,one shot and one oppurtunity while facing ten lions lying next to fuel tanks!!

NEVER MISS A CHANCE TO BLOW THOSE TANKS!!


kuna wengi hawakuwahi kupata nafasi kama yako,wewe uliipata lakini hukuitumia vizuri.anyways usikate tamaa na funzo hili.hii inamaanisha next time ukupata wasaa adimu usifanye mchezo.nakuombea mungu upate!!
 
sijui wewe unapendelea kuwa nani hapo baadae ila unanafac ya kupata course baadhi katika vyuo ve2 hapa tz.....kama unapenda unaweza soma geology mlimani,IT or Computer science IFM na UDOM unaweza pata course za computer eng,computer science,information system and telecommunication....lakini chagua moyo wako unapopenda.....good luck
 

mkuu nimesoma students guide book 2012/2013 UD WANATAKA CHEMISTRY O-level uwe na C lakini UDOM hawajaongelea hilo, so hii inaweza kufanya nikose admission UD???
 
Angalia course za ardhi university wanaweza kukuchukuwa au computer science kama RUCO watakuchukua.
 
mkuu nimesoma students guide book 2012/2013 UD WANATAKA CHEMISTRY O-level uwe na C lakini UDOM hawajaongelea hilo, so hii inaweza kufanya nikose admission UD???

Kwa hapo UD cna uhakika labda ujaribu tu bahati yako
 
kuna chuo fulani hv hapo dar nafikiri kinajipigiaga promo sana kwenye media,cha urubani,naona kinaweza kukufaa mzee,kwanza hongera pgm c mchezo,div 3 umejitahidi,kila la kheri
 
HONGERA SANA! PGM kwa div 3 uko juu dont wor abt chemistry o level ww apply any engineering except Tellecom,electrical,chemical processing,mineral processing....... wewe unapendelea faculty gan? post nikushauri.....
 
hongera sana! Pgm kwa div 3 uko juu dont wor abt chemistry o level ww apply any engineering except tellecom,electrical,chemical processing,mineral processing....... Wewe unapendelea faculty gan? Post nikushauri.....

mkuu me napendelea petroleum engineering, mining engineering na geology
 
petroleum eng iko UDOM apply UTAPATA, Mining eng UDSM ina competation kubwa but am sure UDOM apply UTAPATA na Geology UDSM na UDOM pote apply UTAPATA, Best wishes dogo moct welcme ulimwengu mpya wa ELIMU YA JUU.
 
petroleum eng iko UDOM apply UTAPATA, Mining eng UDSM ina competation kubwa but am sure UDOM apply UTAPATA na Geology UDSM na UDOM pote apply UTAPATA, Best wishes dogo moct welcme ulimwengu mpya wa ELIMU YA JUU.

NASHUKURu SANA MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…