Habari zenu wanajamvi,
Mpaka naandika hapa kuhusu hili tatizo nililonalo la kuanguka na kupoteza fahamu ambalo lilinitokea kwa mara ya kwanza mwaka 2013 nikiwa na miaka 30.
Nilianguka ghafla tu nakupoteza fahamu kwa takribani dakika 10 na baadae fahamu zikarudi nikiwa nasikia mwili unauma na ukiwa umechoka sana.
Nimefanya kipimo cha MRI mara mbili pamoja na ECG mara mbili lakini hakuna dalili yoyote ya kifafa. nimekwenda kwa Prof Matuje lakini hakuna mafanikio na nimekuwa nikitumia dawa aina ya EPILIM kwa zaidi ya miezi sita.
Lakini hiyo hali imekuwa ikizidi kuniattack mara kwa mara bila kuwa na kipindi maalum, ilinisababishia hadi kupata ajali na kupelekea mtoto wangu akafariki na mke wangu kuvunjika taya la kulia.
Naombeni msaada kwa yeyote atakayesoma mada hii na kama anafahamu Doctor anayeweza tibu matatizo ya aina hii.
Asanteni
Mpaka naandika hapa kuhusu hili tatizo nililonalo la kuanguka na kupoteza fahamu ambalo lilinitokea kwa mara ya kwanza mwaka 2013 nikiwa na miaka 30.
Nilianguka ghafla tu nakupoteza fahamu kwa takribani dakika 10 na baadae fahamu zikarudi nikiwa nasikia mwili unauma na ukiwa umechoka sana.
Nimefanya kipimo cha MRI mara mbili pamoja na ECG mara mbili lakini hakuna dalili yoyote ya kifafa. nimekwenda kwa Prof Matuje lakini hakuna mafanikio na nimekuwa nikitumia dawa aina ya EPILIM kwa zaidi ya miezi sita.
Lakini hiyo hali imekuwa ikizidi kuniattack mara kwa mara bila kuwa na kipindi maalum, ilinisababishia hadi kupata ajali na kupelekea mtoto wangu akafariki na mke wangu kuvunjika taya la kulia.
Naombeni msaada kwa yeyote atakayesoma mada hii na kama anafahamu Doctor anayeweza tibu matatizo ya aina hii.
Asanteni