Naomba Msaada: Vitabu vilivyopigwa marufuku Tanzania

Naomba Msaada: Vitabu vilivyopigwa marufuku Tanzania

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2009
Posts
5,101
Reaction score
1,952
Bandugu,

Ninakaribia kurudi nyumbani, ila nina vitabu ninavyovitumia binafsi kwa malengo ya elimu. Nakumbuka kusikia kuna vitabu vilishawahi kupigwa marufuku Tanzania (najua vingine kwa uhakika k.m. Satanic Verses, Unfit for Human Consumption, n.k).

Ni kosa kisheria kuwa nacho - hata kama sikusudii kuuza, kuazimisha au kumuonyesha mwingine?
 
ebu mzee be more specific kama sijakuelewa vile
 
Dispatch your consignment with UPS, FedEx, DHL, TNT lakini usiwape EMS (wanafungua mizigo ya wateja hawa).
 
ebu mzee be more specific kama sijakuelewa vile

Nina vitabu, lakini nimeambiwa kati ya hivyo vitabu nilivyo navyo vilishapigwa marufuku Tanzania. Nitakuwa na hatia nikija navyo? Ni nakala moja moja tu na ni kwa matumizi yangu binafsi.
 
Back
Top Bottom