damu haichagui dini, chama, kabila, jinsia, hali (ulemavu ama la) tusaidie ktk hili......chama bora na makini, dini bora na ya kweli, kabila bora na lenye hadhi, jinsia yenye kutaka kutawala jinsia nyengine ni ile ama ni wale wenye nia ya kuokoa maisha na kufanya dunia iwe sehemu bora ya kuishi
Swali tu la kizushi, Inakuwaje mtu ana damu group flani? zinatokea wapi? ni kurithi au?
naomba hii uweke kama mada inayojitegemea!!! Coz hizo notifikation za majibu nitakuwanazipata na kumbuka nipo makini sana na hii thread so itakuwa kama usumbufu kwangu!! Sor.
Sorry sikua na nia mbaya nilikuwa najaribu kujua kutoka kwa wataalam kama kuna uwezekano huyu fiance wangu ambaye ni mjamzito kapata hiyo group kwa wazazi wake directly ili nikiwa na uhakika nijaribu kuwavaa wakaangalie groups zao tukusaidie maana wote wapo hai na wala si wazee. Mi mwenyewe nimeguswa na hili na nshaanza kufikiria ikitokea siku mchumba akihitaji damu itakuwaje? Hivyo kusaidiana ni vizuri zaidi.
Mchumba wangu mimi ni O Rh- unayotaka. Nina uhakika na hilo kwa kuwa ipo hadi kwenye kadi yake ya Clinic ambayo nimeishika mkononi hivi sasa. Tatizo ana Mimba ya miezi kama 6 na nusu anakaribia saba. Je kuna complication yoyote? Ni mpole na ananisikiliza kwa kila kitu kumshawishi haitokuwa ngumu.
Nambie kama vipi aje leo. Tupo Dar na ntam Drive hapo mwenyewe hata mchana huu.
Mpwa....hutaki mchezo, mimba kwanza ndoa baadae.
Hongera.
Ndugu zangu baba yangu ni
mgonjwa sana yupo hindul mandal, tumeshahangaika kama familia kupata
damu tumeshindwa!!! Nawaombeni ndugu zangu mnisaidie!!! 0714148504 plz
mbarikiwe sana.
Acha ubahiri zama mfukoni nenda dam salama na kama gongo ishirini tuuu (kama kweli uko serious), eeeheeee usiulize sana ndo ma-ccm yalipotufikisha hapo! okoa maisha ya mzee kwanza mambo mengine baadayee, usilie lie humu jamvin wakati mzee anataseka labda kama unatania!