Africa one
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 244
- 111
Ni siku ya nne sasa nabanwa na kichomi cha mbavu, nilienda hospitalini nikapima wakasema ni pneumonia inanisumbua nikapewa dawa nikatumia lkn bado maumivu yako pale pale hayajapungua,kimebana upande wa kushoto chini ya kwapa.
Hivyo naomba kama kuna mdau anawezanisaidia dawa au ushauri dawa ya kutumia anisaidie.
Hivyo naomba kama kuna mdau anawezanisaidia dawa au ushauri dawa ya kutumia anisaidie.