Naomba msaada wa dawa ya kuondoa vipele nyuma ya kichwa

Naomba msaada wa dawa ya kuondoa vipele nyuma ya kichwa

Limbani

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
1,438
Reaction score
442
Habari wakuu, naomba msaada wa dawa ya kuondoa vipele nyuma ya kichwa
ImageUploadedByJamiiForums1431875002.855219.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1431875002.855219.jpg
 
tafuta dawa moja ipo kama crime inaitwa MEDIVEN (BETAMETHASONE OINTMENT), punguza nywele hapo alafu paka asubuhi na jioni.
Pia hata staili ya unyoaji inawezekana haikuwa sahihi.
ila anza na hiyo dawa .
 
tafuta dawa moja ipo kama crime inaitwa MEDIVEN (BETAMETHASONE OINTMENT), punguza nywele hapo alafu paka asubuhi na jioni.
Pia hata staili ya unyoaji inawezekana haikuwa sahihi.
ila anza na hiyo dawa .

Ahsante mkuu, vimepungua lakini bado vipo. Hakuna dawa nyingine?
 
nenda kwa daktar wa ngozi atakupima damu kisha atakupa dawa ya kutumia zaid ya miez 3
 
Back
Top Bottom