Naomba msaada wa haraka, Shingo imekakamaa siwezi kugeuka

Naomba msaada wa haraka, Shingo imekakamaa siwezi kugeuka

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Rejea kichwa habari,

Imeanza ghafla kadiri muda unavyozidi kwenda najihisi kichwa kizito na kifua kinabana.
Siwezi hata kuinama.

Nashukuru.
 
Pole, kama kuna mtu anatumia mkono wa kushoto (kupiga kitu chochote) mwambie akupige eneo la shingo kutoka ilikopindia akiwa ameweka wima kiganja kama hii picha inavyoonyesha. NB; Imani yako itakuponya.
 

Attachments

  • 1436183556791.jpg
    1436183556791.jpg
    75.7 KB · Views: 402
Pole sana, isiwe ikawa maumivu hayo yamesababishwa na mafunzo yale ya kuwa train marubani
 
Pole sana, inawezekana ikawa Meningitis, ni mbaya sana. Wahi hospitali ndugu
 
Rejea kichwa habari,

Imeanza ghafla kadiri muda unavyozidi kwenda najihisi kichwa kizito na kifua kinabana.
Siwezi hata kuinama.

Nashukuru.

mkuu una nipa wasi wasi ebu hapo ulipo..jaribu ku gusisha kidevu chako na kifua..na maanisha jitahd kuinamisha kichwa kiguse kifua unipe mrejesho haraka....maana shngo kukaka maa ghafla ni dalili ya meningitis..
 
mkuu una nipa wasi wasi ebu hapo ulipo..jaribu ku gusisha kidevu chako na kifua..na maanisha jitahd kuinamisha kichwa kiguse kifua unipe mrejesho haraka....maana shngo kukaka maa ghafla ni dalili ya meningitis..


Yeah au kama ni hydrophobia, nilimueleza awali, he better switch to hosp
 
mkuu una nipa wasi wasi ebu hapo ulipo..jaribu ku gusisha kidevu chako na kifua..na maanisha jitahd kuinamisha kichwa kiguse kifua unipe mrejesho haraka....maana shngo kukaka maa ghafla ni dalili ya meningitis..
shingo haiinami hata degree moja
na nikiongea nahisi harufu ya kama kitu kimeungua kutuka ndani mwangu
 
Pole sana, jichue na mafuta ya nazi mkuu
 
wakuu nimezidiwa dua zenu.........
 
wakuu nimezidiwa dua zenu.........

pole sana wahi hosptal mara moja....history taken nilio chukuwa kwako japo haitoshelezi probabilty yakuwa na meningitisi ni 90% as longer auku tenguka shingo wala kulala vibaya.....dalili za ghafla za shingo ku kaka maaa(stiff neck) huwa zina sababishwa na inflamation za meningitis ambazo huletwa na pathogens mostly wakiwa ni Cryptoccocus meningitis...Neisaeria meningitis na parasitites kama trypanasomes crus,rhodesianse....!!

cha msingi ni kwenda hospital naku fanyiwa lab diagnosisi ya CSF hapo watakutoa lumber pucture(hichi kipimo kina maumivu sana)

NOTE: unavyo chelewa ndio hali yako itazidi kuwa mbaya na hao pathogens wana weza fika kwenye ubongo nakuleta madhara zaidi.....!!!!
 
Wakuu namshukuruni sana kwa ushauri wenu, nilikwenda Hospitali nimetibiwa,
ni kweli nimekutwa na balaa la uti mgongo (meningitis),nashukuru kwa ushauri wenu ulionipa hofu na kulipa uzito suala hili na hatimaye kupata matibabu.
shukran za pekee kwa
definition
Sasa najiuliza ugonjwa huu nimeupata wapi?
Naweza vipi kudhibiti ili nisiambukize wengine?
 
Wakuu namshukuruni sana kwa ushauri wenu, nilikwenda Hospitali nimetibiwa,
ni kweli nimekutwa na balaa la uti mgongo (meningitis),nashukuru kwa ushauri wenu ulionipa hofu na kulipa uzito suala hili na hatimaye kupata matibabu.
shukran za pekee kwa
definition
Sasa najiuliza ugonjwa huu nimeupata wapi?
Naweza vipi kudhibiti ili nisiambukize wengine?


Pole sana..
 
Wakuu namshukuruni sana kwa ushauri wenu, nilikwenda Hospitali nimetibiwa,
ni kweli nimekutwa na balaa la uti mgongo (meningitis),nashukuru kwa ushauri wenu ulionipa hofu na kulipa uzito suala hili na hatimaye kupata matibabu.
shukran za pekee kwa
definition
Sasa najiuliza ugonjwa huu nimeupata wapi?
Naweza vipi kudhibiti ili nisiambukize wengine?

hongera mkuu...kwaku fanikiwa ku iwahi mapema..!!! mara nyingi meningitis husababishwa na bacteria& parasite virus ni kwa kiwango kidogo...!! common ni hao fangus aina ya cryptoccocus meningitis..na bactria aina ya streptoccocis meningitis& Neisseria meningitis...wana enezwa kwa njia ya hewa through inhalation of air droplets kutoka kwa infected patient....pia wanakuwa kwenye vumbi wakati ukivuta hewa since wanakuwa ni capsulated....!!!

ili kuzuia kusambaza ugonjwa huu jitahidi ukiwa una kohoa au kupga chafya ujizuie au ujitahidi kufanya tendo hilo mbali na watu..!!! na kwa hao fangasi aina ya cryptoccocus jitahidi usiwe na contact za njiwa pamoja na popo kwani wanakuwa kwenye kinyesi vyao kama normal flora.

meningitis ina tibika iwapo uta iwahi....waweza tumia antbiotic ...ila ni vizuri kufanyiwa lumber puncture( kutobolewa uti wa mgongo) ili diagnosis i determine ni aina gani ya pathogeni ....!!!

pia bado najiuliza umepataje meningitis corse kesi nyngi za meningitis nazo zipataga niza watoto na za watu wenye upungufu wa kinga mwilini....!!! anyway...
 
hongera mkuu...kwaku fanikiwa ku iwahi mapema..!!! mara nyingi meningitis husababishwa na bacteria& parasite virus ni kwa kiwango kidogo...!! common ni hao fangus aina ya cryptoccocus meningitis..na bactria aina ya streptoccocis meningitis& Neisseria meningitis...wana enezwa kwa njia ya hewa through inhalation of air droplets kutoka kwa infected patient....pia wanakuwa kwenye vumbi wakati ukivuta hewa since wanakuwa ni capsulated....!!!

ili kuzuia kusambaza ugonjwa huu jitahidi ukiwa una kohoa au kupga chafya ujizuie au ujitahidi kufanya tendo hilo mbali na watu..!!! na kwa hao fangasi aina ya cryptoccocus jitahidi usiwe na contact za njiwa pamoja na popo kwani wanakuwa kwenye kinyesi vyao kama normal flora.

meningitis ina tibika iwapo uta iwahi....waweza tumia antbiotic ...ila ni vizuri kufanyiwa lumber puncture( kutobolewa uti wa mgongo) ili diagnosis i determine ni aina gani ya pathogeni ....!!!

pia bado najiuliza umepataje meningitis corse kesi nyngi za meningitis nazo zipataga niza watoto na za watu wenye upungufu wa kinga mwilini....!!! anyway...
Ya Mungu mengi
Bora kujijua mapema
:A S wink:
 
hongera mkuu...kwaku fanikiwa ku iwahi mapema..!!! mara nyingi meningitis husababishwa na bacteria& parasite virus ni kwa kiwango kidogo...!! common ni hao fangus aina ya cryptoccocus meningitis..na bactria aina ya streptoccocis meningitis& Neisseria meningitis...wana enezwa kwa njia ya hewa through inhalation of air droplets kutoka kwa infected patient....pia wanakuwa kwenye vumbi wakati ukivuta hewa since wanakuwa ni capsulated....!!!

ili kuzuia kusambaza ugonjwa huu jitahidi ukiwa una kohoa au kupga chafya ujizuie au ujitahidi kufanya tendo hilo mbali na watu..!!! na kwa hao fangasi aina ya cryptoccocus jitahidi usiwe na contact za njiwa pamoja na popo kwani wanakuwa kwenye kinyesi vyao kama normal flora.

meningitis ina tibika iwapo uta iwahi....waweza tumia antbiotic ...ila ni vizuri kufanyiwa lumber puncture( kutobolewa uti wa mgongo) ili diagnosis i determine ni aina gani ya pathogeni ....!!!

pia bado najiuliza umepataje meningitis corse kesi nyngi za meningitis nazo zipataga niza watoto na za watu wenye upungufu wa kinga mwilini....!!! anyway...

pole sana wahi hosptal mara moja....history taken nilio chukuwa kwako japo haitoshelezi probabilty yakuwa na meningitisi ni 90% as longer auku tenguka shingo wala kulala vibaya.....dalili za ghafla za shingo ku kaka maaa(stiff neck) huwa zina sababishwa na inflamation za meningitis ambazo huletwa na pathogens mostly wakiwa ni Cryptoccocus meningitis...Neisaeria meningitis na parasitites kama trypanasomes crus,rhodesianse....!!

cha msingi ni kwenda hospital naku fanyiwa lab diagnosisi ya CSF hapo watakutoa lumber pucture(hichi kipimo kina maumivu sana)

NOTE: unavyo chelewa ndio hali yako itazidi kuwa mbaya na hao pathogens wana weza fika kwenye ubongo nakuleta madhara zaidi.....!!!!
safi sana mkuu Dr definition
 
Back
Top Bottom