Emma M Bai
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 223
- 126
Jina la simu Tecno ca6 camon cm
Hapa police tu mtu ambae nilikabidhiwa afuatilie tiyari nimeshamlipa laki 1Pole sana mkuu, hiyo pesa ya zawadi nono bora kanunue simu ingine mpya.
Hata ukipewa RB, mzunguko na usumbufu wa jamaa wa Cyber utajuta, na uhakika wa kuipata simu sio mkubwa sana.
Ngoja tuone watalam Labda kuna jipyano offense ila, simu yenyewe tecno ?
iyo zawadi nono bora ununue 'tecno' nyengine
Kwa simu ya bei hyo watakulia hela tu. Achana nao. Ingekua simu ya hela nyingi hapo sawa. Alaf kma hzo tecno watu wanabadilisha imei number fastaHapa police tu mtu ambae nilikabidhiwa afuatilie tiyari nimeshamlipa laki 1
Hapa police tu mtu ambae nilikabidhiwa afuatilie tiyari nimeshamlipa laki 1
duuuhYaani Tecno utoe laki moja kwa polisi aisee[emoji16]