Kwanza nikupe ushauri ufuatao:
Unatakiwa upeleke malalamiko kwa kiongozi anayehusika katika eneo lako kwa maandishi siyo kwa mdomo. Kiongozi anayehusika akishapoke malalamiko anatakaiwa achukue hatua mara moja kwa mujibu wa sheria. Lakini, pia kuwakomesha hao unaweza kutafuta wakili akawapa kusudio la kushitakiwa iwapo hawataacha.
Tumia sheria ya "THE LOCAL GOVERNMENT (URBAN AUTHORITIES) ACT, 1982 (CAP. 288)" na Regulations zake yaani "THE LOCAL GOVERNMENT (URBAN AUTHORITIES) (DEVELOPMENTCONTROL) REGULATIONS, 2008"
Kwenye regulations inasema:
PART III: SANITARY
(b) Nuissance
8.-{ 1) No owner or occupier of a premises, building or land or any
other person shall in any manner make a nuisance or cause a nuisance to
be made to a person or public.
(2) For the purposes of this Part, "nuisance" includes the following:-
(a)....
(b)...
......
(w) any noise likely to be dangerous, hazardous or injurious to health or offensive and which is made by a person or group of persons, whether originating from a dancing hall, club, bar,restaurant, hotel, social hall, theatre, plaY!,'Tound, dwelling house,premises or not, made irrespective of musical instrument or
any other source.
(3) Any person affected by nuisance shall complain in writing to an
inspector responsible in the respective area.
......
Kuna mambo mengi na utaratibu na hatua za kuchukua, kwa hiyo itafute uisome yote.