Black jackal360
Member
- Sep 1, 2018
- 30
- 42
Kama bosi alitoa Cheki halalii hiyo Feki katengeneza mama yako au???
Aaha kumbe mzee...mambo ya darasa tena[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kwa heriiHilo ni swali tumepewa na lecture kifupi nataka suruhiaho .
Business law case
Asante ndugu kwa mchango mzuri wa mawazo shukraniHajuna kesi hapo, mrudishie Cheque yake Boss wako akupe cash kwani pesa bado haijatoka kwenye A/c yake. mkikagua mtajiridhisha kuwa malipo yamefanyika au bado
na si vizuri ufanye kazi wewe umuandike mtu mwingine, ni kosa, kwani kuna mambo ya Kodi,na makato mengine lazimau uyalipe kwa Serikali yetu
Kasome negotiable instruments jibu liko wazi nani mwenye locus standi...Bosi wangu amenipa kazi ya ujenzi lakini kwenye makubaliano ya pesa yangu sikutaka nilipwe mimi nikataka alipwe mama yangu na bosi akakubali bali hio pesa bosi wangu hakutoa Cash akatoa Cheque. Baada ya mama yangu kwenda Bank akaambiwa cheque ni feki kwahio anaetakiwa kulalamika mahakamani ni nani wakati bosi alitoa cheque halali . .
Karibuni katika business law
jibu lina mashiko sanaHakuna kesi hapo, mrudishie Cheque yake Boss wako akupe cash kwani pesa bado haijatoka kwenye A/c yake. mkikagua mtajiridhisha kuwa malipo yamefanyika au bado
na si vizuri ufanye kazi wewe umuandike mtu mwingine, ni kosa, kwani kuna mambo ya Kodi,na makato mengine lazimau uyalipe kwa Serikali yetu
Kasome negotiable instruments jibu liko wazi nani mwenye locus standi...