Naomba msaada wa jinsi ya kugawana faida

dar stamina

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
19
Reaction score
10
Wanajamvi,

Naomba kusaidiwa kupata mchanganuo mzuri wa kugawana faida ya Biashara na business partner wenzangu.
 
Hakikisheni mtaji unawekwa pembeni kwa kupewa kipaumbele cha kwanza.....then kila mtu atagawiwa faida kulingana na mtaji alioweka katika hiyo biashara.....hesabu za uwiano zitahusika hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…