Naomba msaada wa katiba ya kikundi cha kijasiriamali

Alex Xavery

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
230
Reaction score
196
Naomba msaada kwa mwenye draft ya katiba ya kikundi cha kijasiriamali, tutajihusisha na kilimo cha mbogamboga na matunda. Tunatakiwa kusajiliwa na kufungua akaunti.
Naomba msaada tafadhali
 
Muone afisa maendeleo ya jamii wa kata yako shida yako itaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…