safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Wakuu heshima kwenu.naomba nielezee tatizo langu.
Mimi ni kijana wa makaomo mwenye afya timamu sina stress kabisa lakini kuna jambo huwa watu wananiambia.ni hivi.
Nikiwa nimekaa na watu wengi katika maongezi watu huniambia siko pale kiakili,huniambia nina mawazo au nina stress nikiwaambia kwamba sina tatizo nipo kawaida,wananiambia mbona uko hivyo? Nakosa cha kuwajibu ila nahisi kwa sababu hizi ndo mana wanaona kama nina msongo..
1.Mimi sio muongeaji sana jambo ambalo linafanya mda mwingi nikiwa na warafiki nakuwa kimya sana japo wakati huo nakuwa kuna mambo ya kawaida sana nayawaza kimaisha,naweza kuwaza hesabu za maendeleo yangu naweza kuwaza wazazi n.k yani ubongo wangu unakuwa haujaconcetrate na stori za pale japo nikiulizwa naweza kuchangia mada pale lakini siwasikilizi ile kwa umakini
2.lakini pia hupenda kusngalia sehemu moja,yaani wakati nipo kimya kama naagalia sehemu naagalia sehemu hiyo hiyo mojaa sigeuzi geuzi shingo huku na kulee nakuwa nimetulia tu,nadhani ndo maana wanaona kama nina msongo wa mawazo.
sasa mimi naomba msaada wenu jee naweza kuwa na tatizo au msomgo kama wanavosema watu japokuwa mimi mwenyewe najiona nipo kawaida?
Lakini pia mimi sio mtu wa kufatilia baadhi ya mambo mfano naweza nikawa nipo mtaani alafu mtu nikawa namjua kwa sura tunaongea na yeye ananijua jina ils yeye nakuwa jina simjui,au naweza kwenda sehemu kama dar au zenj alafu kuna yale maeneo maarufu huwa hata sina mood ya kwenda huko mpaka watu wananiona tofauti jee hali hii inatokana na nini?
Mimi ni kijana wa makaomo mwenye afya timamu sina stress kabisa lakini kuna jambo huwa watu wananiambia.ni hivi.
Nikiwa nimekaa na watu wengi katika maongezi watu huniambia siko pale kiakili,huniambia nina mawazo au nina stress nikiwaambia kwamba sina tatizo nipo kawaida,wananiambia mbona uko hivyo? Nakosa cha kuwajibu ila nahisi kwa sababu hizi ndo mana wanaona kama nina msongo..
1.Mimi sio muongeaji sana jambo ambalo linafanya mda mwingi nikiwa na warafiki nakuwa kimya sana japo wakati huo nakuwa kuna mambo ya kawaida sana nayawaza kimaisha,naweza kuwaza hesabu za maendeleo yangu naweza kuwaza wazazi n.k yani ubongo wangu unakuwa haujaconcetrate na stori za pale japo nikiulizwa naweza kuchangia mada pale lakini siwasikilizi ile kwa umakini
2.lakini pia hupenda kusngalia sehemu moja,yaani wakati nipo kimya kama naagalia sehemu naagalia sehemu hiyo hiyo mojaa sigeuzi geuzi shingo huku na kulee nakuwa nimetulia tu,nadhani ndo maana wanaona kama nina msongo wa mawazo.
sasa mimi naomba msaada wenu jee naweza kuwa na tatizo au msomgo kama wanavosema watu japokuwa mimi mwenyewe najiona nipo kawaida?
Lakini pia mimi sio mtu wa kufatilia baadhi ya mambo mfano naweza nikawa nipo mtaani alafu mtu nikawa namjua kwa sura tunaongea na yeye ananijua jina ils yeye nakuwa jina simjui,au naweza kwenda sehemu kama dar au zenj alafu kuna yale maeneo maarufu huwa hata sina mood ya kwenda huko mpaka watu wananiona tofauti jee hali hii inatokana na nini?