Naomba msaada wa kisheria kuhusu kubadili jina

Naomba msaada wa kisheria kuhusu kubadili jina

The tolerance 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
404
Reaction score
517
Habari zenu Wana jamvi,naomba msaada wa kisheria kuhusu kubadili jina nililosomea kwenda jina langu halisi.

Ipo hivi nilipoanza kidato Cha kwanza nilitumia jina la mtu ambaye aliacha shule so nikatumia jina Hilo mpaka nikamaliza chuo, kwa sababu nlikuwa na shauku kubwa Sana ya kusoma sikuwaza effect zake za badae maana ningebadili nikiwa form two.

Je, Kuna uwezekano wa kubadili hili jina ninalotumia ambalo lipo kwenye cheti Cha kuzaliwa na vyeti vyote vyya shule?

Asanteni
 
Badilisha cheti cha kuzaliwa na cha Taifa visomeke kwa majina ya vyeti vya kitaaluma.

Mwigulu Nchemba alifanya hivyo na historia yake ni kama yako hivyo hivyo.

Mwigulu Nchemba jina lake ni Lameck Madelu.

Umeelewa?
 
Pia unaweza kupitia Uzi huu, majibu yote hapo humu.

 
Badilisha cheti cha kuzaliwa na cha Taifa visomeke kwa majina ya vyeti vya kitaaluma.

Mwigulu Nchemba alifanya hivyo na historia yake ni kama yako hivyo hivyo.

Mwigulu Nchemba jina lake ni Lameck Madelu.

Umeelewa?
Asante Sana,labda hatujaelewana mahali,Yani ni hivi jina lililopo kwenye cheti Cha kuzaliwa na vyeti vyote vya taaluma sio jina langu,nilitumia jina la mtu kusomea coz yy aliacha shule,so ninachohitaji ni kuwa je Kuna uwezekano wa kubadili hili jina lililopo kwenye vyeti vyote liwekwe jina langu halisi? Nikimaanisha kubadilisha kuanzia cheti Cha kuzaliwa,kitambulisho Cha NIDA na vyeti vyote vya taaluma ambavyo vina jina ambalo si langu?
 
Asante Sana,labda hatujaelewana mahali,Yani ni hivi jina lililopo kwenye cheti Cha kuzaliwa na vyeti vyote vya taaluma sio jina langu,nilitumia jina la mtu kusomea coz yy aliacha shule,so ninachohitaji ni kuwa je Kuna uwezekano wa kubadili hili jina lililopo kwenye vyeti vyote liwekwe jina langu halisi? Nikimaanisha kubadilisha kuanzia cheti Cha kuzaliwa,kitambulisho Cha NIDA na vyeti vyote vya taaluma ambavyo vina jina ambalo si langu?
sasa hiyo si impersonation asije akawa mwenzio kafa unataka utembelee nyota yake kisa jamaa msomi
 
sasa hiyo si impersonation asije akawa mwenzio kafa unataka utembelee nyota yake kisa jamaa msomi
Aliyesoma ni Mimi,Ila nilitumia jina lake kwa kuwa aliacha shule tangu akiwa la Saba,Sasa silitaki Hilo jina maana kwanza ni la kiislamu na Mimi ni mkristo,pili kwenye vyeti vya watoto litanichanganya,
 
Mkuu ulichelewa Sana Mimi pia nilisoma kwa jina jingine darasa la saba .nilipofauru kidato cha kwanza niaenda mahakamani nikiwa na mzee wangu tukabadiri jina kisheria.mpaka Sasa natamia jina langu harisi
 
Aliyesoma ni Mimi,Ila nilitumia jina lake kwa kuwa aliacha shule tangu akiwa la Saba,Sasa silitaki Hilo jina maana kwanza ni la kiislamu na Mimi ni mkristo,pili kwenye vyeti vya watoto litanichanganya,
NChi zilizoendelea hili ulilofanya inaitwa wizi wa utambulisho identity theft.
 
Habari zenu Wana jamvi,naomba msaada wa kisheria kuhusu kubadili jina nililosomea kwenda jina langu halisi.

Ipo hivi nilipoanza kidato Cha kwanza nilitumia jina la mtu ambaye aliacha shule so nikatumia jina Hilo mpaka nikamaliza chuo, kwa sababu nlikuwa na shauku kubwa Sana ya kusoma sikuwaza effect zake za badae maana ningebadili nikiwa form two.

Je, Kuna uwezekano wa kubadili hili jina ninalotumia ambalo lipo kwenye cheti Cha kuzaliwa na vyeti vyote vyya shule?

Asanteni
Ndio inawezekana Tengenezewa deed poll ,peleka ikasajiriliwe itakusaidia kubadilisha majina

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Necta hawawezi kubadili jina.
Mpo wengi wana nchi hii wenye majina ya watu wengine.
Daudi Albert Bashite
Lameck Madelu
 
Aliyesoma ni Mimi,Ila nilitumia jina lake kwa kuwa aliacha shule tangu akiwa la Saba,Sasa silitaki Hilo jina maana kwanza ni la kiislamu na Mimi ni mkristo,pili kwenye vyeti vya watoto litanichanganya,
Hukuona shida ya hilo jina la Kiislam wakati unafoji na kulitumia kupata elimu lakini sasa umepata elimu kwa jina hilo ndio unaona umefanikiwa ndio unalidisi hilo jina. Wewe ulipaswa kushtakiwa kwa kughushi na kufanya udanganyifu. Tena inawezekana huyo kijana alifaulu mkambania wewe ukatumia jina lake kusomea.
 
Back
Top Bottom