The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
edited
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Tumia Wakili ili kuwaonesha kwamba upo serious sana na hivyo vitendo wanavyofanya. Hii itawashawishi waje make meza moja ili muone mnalimalizaje.naomba kujua yafuatayo;
1. niwaamdikie barua mimi mwenyewe au nitumie wakili?...
Asante Joshydama kwa ushauri wako.1. Tumia Wakili ili kuwaonesha kwamba upo serious sana na hivyo vitendo wanavyofanya. Hii itawashawishi waje make meza moja ili muone mnalimalizaje...
Nimeona kama wewe ni mtaalam wa mambo haya ya sheria na haki.Kabla ya kuwashitaki waandikie barua ya kisheria(Demand letter) ya kuwajulisha kwamba kitendo walichofanya ni kinyume na sheria na makubaliano yenu wakati unafungua akaunti na ni kinyume makubaliano ya mkopo( loan agreement)...
Naomba nkujibu mkuu, kwenye mkataba wako wa mkopo ulio saini una date ya kulipa marejesho sasa ile tarehe ya kulipa rejesho inapofika, system ina collect the amount available kwenye account kulipa rejesho.Amani iwe nanyi!,
Wakuu nina mkopo katika bank fulani nchini na makato ya mkopo wao wanakata kwenye mshahara (maana mimi ni mtumishi wa umma).
Tatizo tokea mwezi wa nne wanakata pesa iliyopo kwenye account yangu,ila baada ya muda wanarudisha ( na nilitoa taarifa ndio ikarudi kwa maelezo kuwa systems yao imekosea)...
Naomba kujua hicho Kiwanja chako kina thamani gani mkuu.Nimeona kama wewe ni mtaalam wa mambo haya ya sheria na haki.
nina kisa kimenitokea leo tar 14 july 2021. Kesi iko hivi...
11MNaomba kujua hicho Kiwanja chako kina thamani gani mkuu.
Nenda kafungue shauri Baraza la ardhi la kataNimeona kama wewe ni mtaalam wa mambo haya ya sheria na haki.
nina kisa kimenitokea leo tar 14 july 2021. Kesi iko hivi...
nitafanya hivyoNenda kafungue shauri Baraza la ardhi la kata
Poa poanitafanya hivyo