Heshima kwenu wakuu.
Naomba ushauri wa kisheria. Ninafanya kazi kampuni binafsi. hawa wanaoitwa wawekezaji.
Mwaka 2018, miezi kama 18 iliyopita nilipandishwa cheo.Cha ajabu nimeendelea kulipwa mshahara uleule wa cheo cha zamani na kila nikimuambiwa muajiri wangu anachukulia poapoa.
Vilevile salary slip zangu zimekuwa zikija na details zenye cheo changu cha zamani lakini nikiuliza kwa nini inakuwa vile napewa majibu ya juu juu kuwa watabadilisha kwenye payroll lakini mpaka sasa hawajafanya hivyo.
Kwa nafasi niliopo sasa natakiwa nilipwe mara mbili ya nilichokuwa nikipata zamani baada ya makato. kumbukumbu zipo ambazo zinaonesha wapo wenzangu wanaofanya nafasi ileile wanalipwa mara mbili zaidi yangu. Vilevile nafasi niliyopo nilirithi kwa mtu aliejiuzulu na alikuwa akilipwa mara mbili ya ninacholipwa mimi.
Nimfanyeje huyu muajiri?
Naomba ushauri wa kisheria. Ninafanya kazi kampuni binafsi. hawa wanaoitwa wawekezaji.
Mwaka 2018, miezi kama 18 iliyopita nilipandishwa cheo.Cha ajabu nimeendelea kulipwa mshahara uleule wa cheo cha zamani na kila nikimuambiwa muajiri wangu anachukulia poapoa.
Vilevile salary slip zangu zimekuwa zikija na details zenye cheo changu cha zamani lakini nikiuliza kwa nini inakuwa vile napewa majibu ya juu juu kuwa watabadilisha kwenye payroll lakini mpaka sasa hawajafanya hivyo.
Kwa nafasi niliopo sasa natakiwa nilipwe mara mbili ya nilichokuwa nikipata zamani baada ya makato. kumbukumbu zipo ambazo zinaonesha wapo wenzangu wanaofanya nafasi ileile wanalipwa mara mbili zaidi yangu. Vilevile nafasi niliyopo nilirithi kwa mtu aliejiuzulu na alikuwa akilipwa mara mbili ya ninacholipwa mimi.
Nimfanyeje huyu muajiri?