Naomba msaada wa kisheria nimepewa NOTICE na mwenye nyumba wangu

Naomba msaada wa kisheria nimepewa NOTICE na mwenye nyumba wangu

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Mimi ni mpangaji kwenye flani huku nilipo sasa nimepewa notice na mwenye nyumba notice ya mwezi mmoja tu wakati huo nilikua nilishalipa kodi ya miezi mi3 je sheria inasemaje kwa mwenye nyumba kumpa notice mpangaji wake?je ile sheria ya kupewa notice na muda wa miezi 3 ukae bure ilibadilishwa?
 
Mimi ni mpangaji kwenye flani huku nilipo
sasa nimepewa notice na mwenye nyumba
notice ya mwezi mmoja tu wakati huo
nilikua nilishalipa kodi ya miezi mi3 je
sheria inasemaje kwa mwenye nyumba
kumpa notice mpangaji wake?je ile sheria
ya kupewa notice na muda wa miezi 3 ukae
bure ilibadilishwa?

Mkataba wenu unasemaje?
 
Mimi ni mpangaji kwenye flani huku nilipo
sasa nimepewa notice na mwenye nyumba
notice ya mwezi mmoja tu wakati huo
nilikua nilishalipa kodi ya miezi mi3 je
sheria inasemaje kwa mwenye nyumba
kumpa notice mpangaji wake?je ile sheria
ya kupewa notice na muda wa miezi 3 ukae
bure ilibadilishwa?

Ukipew notisi kodi iko pale pale
 
kama ulipanga kwa mkataba na haujakiuka mkataba wala usijari endelea kudunda mkataba utakulinda. kama umekiuka imekula kwako. na kama hauna mkataba anapaswa kukupa notice ya miezi mitatu au akupe kodi ya miezi mitatu mbali na kodi yako,
 
Mimi ni mpangaji kwenye flani huku nilipo
sasa nimepewa notice na mwenye nyumba
notice ya mwezi mmoja tu wakati huo
nilikua nilishalipa kodi ya miezi mi3 je
sheria inasemaje kwa mwenye nyumba
kumpa notice mpangaji wake?je ile sheria
ya kupewa notice na muda wa miezi 3 ukae
bure ilibadilishwa?
Hiyo ya mwezi moja ni halali'ndio ilishabadilishwa we jipange uondoke
 
kokudo,
Hili ni jukwaa ambalo huwezi kupata msaada hata kwa jambo dogo kama hilo.
Inabidi ufanye research yako mwemyewe kuhusu sheria zinazotumika kwenye suala la kupanga / kupangisha nyumba.
 
Last edited by a moderator:
Kama umepangishwa na Mzungu basi nenda mahakamani udai sheria hiyo.

Ila kama ni mswahili basi hata leo fanya uhame zako kabla hujabebeshwa mzigo wa majini.
Wenye nyumba waswahili ukiwafanyia ubishi hawakawii kukuzingua kijadi
 
si ushapewa notice hama unangoja nini sasa?

Kuhama lazima nihame sasa ntahama sijapata nyumba?mi naomba msaada wa kisheria kama huna la kunisaidia unaweza kausha tu
 
kama ulipanga kwa mkataba na haujakiuka mkataba wala usijari endelea kudunda mkataba utakulinda. kama umekiuka imekula kwako. na kama hauna mkataba anapaswa kukupa notice ya miezi mitatu au akupe kodi ya miezi mitatu mbali na kodi yako,

Hakunipa mkataba
 
kokudo,
Hili ni jukwaa ambalo huwezi kupata msaada hata kwa jambo dogo kama hilo.
Inabidi ufanye research yako mwemyewe kuhusu sheria zinazotumika kwenye suala la kupanga / kupangisha nyumba.

Ndio maana nikaja jf nilianzia kule kwenye jukwaa la sheria sijapata ushirikiano
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mpangaji kwenye flani huku nilipo sasa nimepewa notice na mwenye nyumba notice ya mwezi mmoja tu wakati huo nilikua nilishalipa kodi ya miezi mi3 je sheria inasemaje kwa mwenye nyumba kumpa notice mpangaji wake?je ile sheria ya kupewa notice na muda wa miezi 3 ukae bure ilibadilishwa?

Kwani mkataba wenu unasemaje kuhusu notice za kuhama au kusitisha mkataba? Vinginevyo kama mkataba wa miezi mitatu upo ni sharti umalize kodi yako vinginevyo anatakiwa kurejesha kodi with penalty only if and only if mliandikiana hivyo. Pia pengine mkataba unasema kama umeleta ukorofi kwa wapangaji au mwenye nyumba basi unaondolea haraka. Ni lazima kuwe na tatizo, si rahisi akupe tu notisi uondoke. Nenda kashitaki serikali za mtaa au mjumbe ili muweke mambo sana kulingana na mkataba wako ndipo kama ukishindwa unaweza kusonga mbele kumshtaki. Na unapata zuio la kuhama haraka. Ila wakuu, kuwa na makazi yako binafsi ni raha kupita raha zote hata kama utalia uji wa chumvi ndani yake. Kazana siku moja utakuwa na kwako.
 
Kama umepangishwa na Mzungu basi nenda mahakamani udai sheria hiyo.

Ila kama ni mswahili basi hata leo fanya uhame zako kabla hujabebeshwa mzigo wa majini.
Wenye nyumba waswahili ukiwafanyia ubishi hawakawii kukuzingua kijadi

Kurogwa sio inshu wote tutakuffa japo vifo hutofautiana
 
Hakunipa mkataba

Yaani wewe unaingia upangajii bila mkataba?? Hela uliandikiana wapi? Basi huyu mwenye nyumba alishajua kuwa huna makaratasi hivyo huwezi kupata nguvu kisheria. Wako wengi wenye nyumba matapeli. Ni fundisho, kawaida kama unapanga ni bora utafute mkataba ya upangaji utengeneze uwe na kopi na kama unahamia mahali na mwenye nyumba hana mkataba basi unampa ya kwako anasaini.
 
Eh! Kama ww sio mshkaji tuliotoka kuongea hapa sasa hivi basi kweli duniani wa2wa2.
Ila jamaa angu yeye alitoa kodi ya mwaka, kakaa miezi mi4 halaf jamaa amemwambia aondoka.
Jamaa sio mwenye nyumba nae ni mpangaji tu ila akaamua kupangisha tena. Hapo inakueje?
 
Kwani mkataba wenu unasemaje kuhusu notice za kuhama au kusitisha mkataba? Vinginevyo kama mkataba wa miezi mitatu upo ni sharti umalize kodi yako vinginevyo anatakiwa kurejesha kodi with penalty only if and only if mliandikiana hivyo. Pia pengine mkataba unasema kama umeleta ukorofi kwa wapangaji au mwenye nyumba basi unaondolea haraka. Ni lazima kuwe na tatizo, si rahisi akupe tu notisi uondoke. Nenda kashitaki serikali za mtaa au mjumbe ili muweke mambo sana kulingana na mkataba wako ndipo kama ukishindwa unaweza kusonga mbele kumshtaki. Na unapata zuio la kuhama haraka. Ila wakuu, kuwa na makazi yako binafsi ni raha kupita raha zote hata kama utalia uji wa chumvi ndani yake. Kazana siku moja utakuwa na kwako.

Hakuna ugomvi wowote na hakuwahi kunipa mkataba na mbaya alisubili nimelipa kodi after mwezi mmoja ndo akaleta notice nihame
 
Back
Top Bottom