Naomba msaada wa kisheria wadau-nimeibiwa na mteja wangu

Naomba msaada wa kisheria wadau-nimeibiwa na mteja wangu

LULAMSO

Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
56
Reaction score
9
Mimi ni mfanyabishara wa bidhaa ndogo ndogo dukani. Siku chache zilizopita kuna mteja alikuja dukani kwangu kupata huduma, baada ya kumhudumia alinilipa pesa ambayo kwa bahati mbaya sikuwa na chenji yake hivyo nililazimika kumuacha dukani kwangu na kwenda duka la jirani kutafta chenji. Wakati huo yeye nillimuacha dukan kwangu kwa mda nikiwa na imani kuwa angeniangalizia kwa mda ili nitafte chenji. Lakini kabla sijaanza harakati hizo za kumtaftia chenji simu yake na yangu niliziweka mezani kwangu kuna kitu nilikuwa najifunza kutoka kwenye simu yake kama ilivyo kawaida kushangaa technolojia mpya.
Dakika chache baadae narejea kumkabidhi chenji yake nilikutana nae mlangoni akiwa tayari kuondoka. Sikuwa na chakuhofu, nilimkabidhi chenji yake sikukumbuka chochote kuhusu simu. Dakika chache baadae nikakumbuka kuhusu simu yangu maana kuna mtu nilitaka kumpigia. Wakati huo hakuna mtu mwingine yeyote alieingia dukan kwangu tangu atoke yeye. Namuuliza anakataa, nawezaje kumdhibiti mtu huyu kisheria? Naomba msaada wenu tafadhari.
NB: Kinachoniuma simu yangu ni ya hela nyigi sana, ni ya laini mbili. na kuna pesa kibao ndani yake, nifanyeje?
 
Mimi ni mfanyabishara wa bidhaa ndogo ndogo dukani. Siku chache zilizopita kuna mteja alikuja dukani kwangu kupata huduma, baada ya kumhudumia alinilipa pesa ambayo kwa bahati mbaya sikuwa na chenji yake hivyo nililazimika kumuacha dukani kwangu na kwenda duka la jirani kutafta chenji. Wakati huo yeye nillimuacha dukan kwangu kwa mda nikiwa na imani kuwa angeniangalizia kwa mda ili nitafte chenji. Lakini kabla sijaanza harakati hizo za kumtaftia chenji simu yake na yangu niliziweka mezani kwangu kuna kitu nilikuwa najifunza kutoka kwenye simu yake kama ilivyo kawaida kushangaa technolojia mpya.
Dakika chache baadae narejea kumkabidhi chenji yake nilikutana nae mlangoni akiwa tayari kuondoka. Sikuwa na chakuhofu, nilimkabidhi chenji yake sikukumbuka chochote kuhusu simu. Dakika chache baadae nikakumbuka kuhusu simu yangu maana kuna mtu nilitaka kumpigia. Wakati huo hakuna mtu mwingine yeyote alieingia dukan kwangu tangu atoke yeye. Namuuliza anakataa, nawezaje kumdhibiti mtu huyu kisheria? Naomba msaada wenu tafadhari.
NB: Kinachoniuma simu yangu ni ya hela nyigi sana, ni ya laini mbili. na kuna pesa kibao ndani yake, nifanyeje?

kuhusu pesa za ndan karenew line
 
kuhusu pesa za ndan karenew line

jAmaa yangu wewe ulisha poteza vingi sana chakufanya wewe nenda ka swap laini yako,achana nae huyo nae unamsumbua umaskini wewe ni mwanaume never giveup continue the fight.
 
Mimi ni mfanyabishara wa bidhaa ndogo ndogo dukani. Siku chache zilizopita kuna mteja alikuja dukani kwangu kupata huduma, baada ya kumhudumia alinilipa pesa ambayo kwa bahati mbaya sikuwa na chenji yake hivyo nililazimika kumuacha dukani kwangu na kwenda duka la jirani kutafta chenji. Wakati huo yeye nillimuacha dukan kwangu kwa mda nikiwa na imani kuwa angeniangalizia kwa mda ili nitafte chenji. Lakini kabla sijaanza harakati hizo za kumtaftia chenji simu yake na yangu niliziweka mezani kwangu kuna kitu nilikuwa najifunza kutoka kwenye simu yake kama ilivyo kawaida kushangaa technolojia mpya.
Dakika chache baadae narejea kumkabidhi chenji yake nilikutana nae mlangoni akiwa tayari kuondoka. Sikuwa na chakuhofu, nilimkabidhi chenji yake sikukumbuka chochote kuhusu simu. Dakika chache baadae nikakumbuka kuhusu simu yangu maana kuna mtu nilitaka kumpigia. Wakati huo hakuna mtu mwingine yeyote alieingia dukan kwangu tangu atoke yeye. Namuuliza anakataa, nawezaje kumdhibiti mtu huyu kisheria? Naomba msaada wenu tafadhari.
NB: Kinachoniuma simu yangu ni ya hela nyigi sana, ni ya laini mbili. na kuna pesa kibao ndani yake, nifanyeje?

USHAURI,
Hilo ni kosa la jinai kesi kama hizo huanzia polisi ili upate mpelelezi wa jarada lako. Ushahidi wa kimazingingira unaonesha wazi kuwa yeye alichukua na kama si yeye basi anamfahamu mtu aliyechukua na hivyo amesaidia kuiba.

Utakapofungua malalamiko polisi huyo mtu atakamatwa kama mtuhumiwa na polisi wataendelea na uchunguzi huku akiwa chini ya dhamana kama atakidhi sifa za dhamana na kama sivyo atatakiwa akae rumande. Polisi wakishajiridhisha kwa kushirikiana na wewe na kupata ushahidi wa kutosha juu ya wizi wake watampeleka mahakamani na atatakiwa kupewa dhamana akikidhi vigezo na mambo mengine yataendelea. USHAHIDI WA KIMAZINGIRA UNATHIBITISHA ALIIBA NAKUSHAURI NENDA POLISI KWA MSAADA ZAIDI TUWASILIANE.
 
Hapo kuprove bila kuacha shaka ya maana ni ngumu saaaana. Potezea tu mkuu
 
USHAURI,
Hilo ni kosa la jinai kesi kama hizo huanzia polisi ili upate mpelelezi wa jarada lako. Ushahidi wa kimazingingira unaonesha wazi kuwa yeye alichukua na kama si yeye basi anamfahamu mtu aliyechukua na hivyo amesaidia kuiba.

Utakapofungua malalamiko polisi huyo mtu atakamatwa kama mtuhumiwa na polisi wataendelea na uchunguzi huku akiwa chini ya dhamana kama atakidhi sifa za dhamana na kama sivyo atatakiwa akae rumande. Polisi wakishajiridhisha kwa kushirikiana na wewe na kupata ushahidi wa kutosha juu ya wizi wake watampeleka mahakamani na atatakiwa kupewa dhamana akikidhi vigezo na mambo mengine yataendelea. USHAHIDI WA KIMAZINGIRA UNATHIBITISHA ALIIBA NAKUSHAURI NENDA POLISI KWA MSAADA ZAIDI TUWASILIANE.

You have a good heart
 
Back
Top Bottom