Naomba msaada wa kisheria

Naomba msaada wa kisheria

Bensoy

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
576
Reaction score
622
Kama shauri la kesi A limetolewa katika mahama ya mwanzo iliyoko wilaya A, Je kama kuna shida ya utekelezaji wa kesi imetokea na wahusika wamehama hio wilaya waliyohukumiwa.

Je, kuna uwezekano wa kwenda mahakama nyingine ya mwanzo iliyoko wilaya nyingine kwa ishu zinazo husiana na utekelezwaji wa hukumu ya mwanzo iliyotolewa wilaya nyingine?

Naomba ufafanuzi tafadhali
 
Kama shauri la kesi A limetolewa katika mahama ya mwanzo iliyoko wilaya A, Je kama kuna shida ya utekelezaji wa kesi imetokea na wahusika wamehama hio wilaya waliyohukumiwa.

Je, kuna uwezekano wa kwenda mahakama nyingine ya mwanzo iliyoko wilaya nyingine kwa ishu zinazo husiana na utekelezwaji wa hukumu ya mwanzo iliyotolewa wilaya nyingine?

Naomba ufafanuzi tafadhali
Ndio inawezekana, kinachotakiwa ni nyaraka itakayotolewa na mahakama iliyotoa hukumu kwenda kwenye mahakama ambayo inapaswa kutekeleza hukumu.

Na hukumu itatekelezwa kama kawaida
 
Back
Top Bottom