Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha sita katika shule ya Kibaha secondary mchepuo wa PCB .
Naomba kujuzwa endapo nkipata dvs3 ni kozi gani za afya naweza kuomba ili nichaguliwe kwenye chuo hicho nisikose chuo kwa sababu ya competition kama ilivyotokea mwaka jana.
Naombeni msaada hasa kwa frst year kozi za udaktari naombeni mnipe majibu.
karibuni.
Naomba kujuzwa endapo nkipata dvs3 ni kozi gani za afya naweza kuomba ili nichaguliwe kwenye chuo hicho nisikose chuo kwa sababu ya competition kama ilivyotokea mwaka jana.
Naombeni msaada hasa kwa frst year kozi za udaktari naombeni mnipe majibu.
karibuni.