Naomba msaada wa kuapata ajira

Naomba msaada wa kuapata ajira

magwamaka

Senior Member
Joined
May 20, 2023
Posts
120
Reaction score
266
Wapendwa habari ya kazi?

Poleni na majukumu ,nina mdogo.wangu wa mwisho wa kiume alimaliza Udsm ,geography and Environmental degree yake akamaliza 2014 ,changamoto.ikawa ajira hakuna ametafuta sana

Mwaka 2017 ikabidi tumchangie mtaji kama 5M ,akafanya biashara ya mpunga ikaenda sivyo mpaka mtaji ukaisha ,tukaona huyu biashara haweIi ikabidi mwaka 2021 akasome clinical kwa ngazi ya diploma KCMC ,kamaliza mwaka huu,

Msaada wa kimawazo.ni kijana ambae yaani hata hizi ajira lazima umpigie kwamba ajira fulani zimetoka omba sio yeye kama yeye kutafuta naona changamoto sana .Mwezi wa 8 zilitoka ajira za env.akaomba hawajiitwa kwenye interview mpka leo kaoa na mke wake kajishikiza internship wana mtoto mmoja yaani namuwazia.sana yaani ile kufight mwenyewe kama mwenyewe hawezi naomba mwenye connection msaada.please
 
Wapendwa habari ya kazi? Poleni na majukumu ,nina mdogo.wangu wa mwisho wa kiume alimaliza Udsm ,geography and Environmental degree yake akamaliza 2014 ,changamoto.ikawa ajira hakuna ametafuta sana ikabidi 2017 tumchangie mtaji kama 5M ,akafanya biashar ya mpunga ikaenda sivyo mpaka mtaji ukaisha ,tukaona huyu biashara haweI ikabidi mwaka.2021 akasome clinical kwa ngazi ya diploma KCMC ,kamaliza mwaka huu,msaada wa kimawazo.ni kijana ambae yaani hata hizi ajira lazima umpigie kwamba ajira fulani zimetoka omba sio yeye kama yeye kutafuta naona changamoto sana .Mwezi wa 8 zilitoka ajira za env.akaomba hawajiitwa kwenye interview mpka leo kaoa na mke wake kajishikiza internship wana mtoto mmoja yaani namuwazia.sana yaani ile kufight mwenyewe kama mwenyewe hawezi naomba mwenye connection msaada.please
Muoleeeni mke huyo
 
Wapendwa habari ya kazi?

Poleni na majukumu ,nina mdogo.wangu wa mwisho wa kiume alimaliza Udsm ,geography and Environmental degree yake akamaliza 2014 ,changamoto.ikawa ajira hakuna ametafuta sana

Mwaka 2017 ikabidi tumchangie mtaji kama 5M ,akafanya biashara ya mpunga ikaenda sivyo mpaka mtaji ukaisha ,tukaona huyu biashara haweIi ikabidi mwaka 2021 akasome clinical kwa ngazi ya diploma KCMC ,kamaliza mwaka huu,

Msaada wa kimawazo.ni kijana ambae yaani hata hizi ajira lazima umpigie kwamba ajira fulani zimetoka omba sio yeye kama yeye kutafuta naona changamoto sana .Mwezi wa 8 zilitoka ajira za env.akaomba hawajiitwa kwenye interview mpka leo kaoa na mke wake kajishikiza internship wana mtoto mmoja yaani namuwazia.sana yaani ile kufight mwenyewe kama mwenyewe hawezi naomba mwenye connection msaada.please
Kwahiyo kila kitu ni kusaidiwa na mnamchukulia poa tu!!! Mara mumpe mtaji 5m, mara mumusomeshe taalum nyingine mbadala! Sasa je na kuingiza mkunyenge kwenye mbususu mnamsaidia? Hilo zigo lenu pambana nalo kama familia!
 
Sio rahisi apate kazi unamuombea Ajira huku unamponda.

Huna akili ya kutazama Mbele
 
Wapendwa habari ya kazi?

Poleni na majukumu ,nina mdogo.wangu wa mwisho wa kiume alimaliza Udsm ,geography and Environmental degree yake akamaliza 2014 ,changamoto.ikawa ajira hakuna ametafuta sana

Mwaka 2017 ikabidi tumchangie mtaji kama 5M ,akafanya biashara ya mpunga ikaenda sivyo mpaka mtaji ukaisha ,tukaona huyu biashara haweIi ikabidi mwaka 2021 akasome clinical kwa ngazi ya diploma KCMC ,kamaliza mwaka huu,

Msaada wa kimawazo.ni kijana ambae yaani hata hizi ajira lazima umpigie kwamba ajira fulani zimetoka omba sio yeye kama yeye kutafuta naona changamoto sana .Mwezi wa 8 zilitoka ajira za env.akaomba hawajiitwa kwenye interview mpka leo kaoa na mke wake kajishikiza internship wana mtoto mmoja yaani namuwazia.sana yaani ile kufight mwenyewe kama mwenyewe hawezi naomba mwenye connection msaada.please
Sasa Mkuu, Mdogo wako anaoa na bado hajajiimarisha hii nayo ni changamoto.

Lakini wakati ukiendelea kumpambania jaribu kumjengea uwezo.

Ahsante.
 
Kama ulikuwa tayari kumsaidia kumuombea kazi basi ficha madhaifu yake, hata kama sehem ilihitaji mtu wa qualifications zake, hawezi kuajiriwa kwa sababu ulishamsema kuwa ni dhaifu yaan lazy na ukute kumbe mdogo wako ni mtu safi sana akiwa katika kazi (Maskini mdogo wako, sasa kama wote mnamtaftia kazi kwa namna hii sijui kama anaweza kufanikiwa).
Wacha nikupe Mfano wewe ni HR unahitaji mtu wa qualifications hizo, alafu anakuja rafiki Yako anakueleza hayo maelezo kwamba anamdogo wake yupo hivyo, utamuajiri?
Kuna wakati mnasema maisha magumu hamfanikiwa kwa kudhani mmelogwa kumbe wachawi ni nyinyi, hakuna mtu asiye na matatizo ila Kuna kitu kinaitwa SIRI.
 
Ondoa CCM madarakani, otherwise vijana tutauwawa na depression
Wapendwa habari ya kazi?

Poleni na majukumu ,nina mdogo.wangu wa mwisho wa kiume alimaliza Udsm ,geography and Environmental degree yake akamaliza 2014 ,changamoto.ikawa ajira hakuna ametafuta sana

Mwaka 2017 ikabidi tumchangie mtaji kama 5M ,akafanya biashara ya mpunga ikaenda sivyo mpaka mtaji ukaisha ,tukaona huyu biashara haweIi ikabidi mwaka 2021 akasome clinical kwa ngazi ya diploma KCMC ,kamaliza mwaka huu,

Msaada wa kimawazo.ni kijana ambae yaani hata hizi ajira lazima umpigie kwamba ajira fulani zimetoka omba sio yeye kama yeye kutafuta naona changamoto sana .Mwezi wa 8 zilitoka ajira za env.akaomba hawajiitwa kwenye interview mpka leo kaoa na mke wake kajishikiza internship wana mtoto mmoja yaani namuwazia.sana yaani ile kufight mwenyewe kama mwenyewe hawezi naomba mwenye connection msaada.please
 
Back
Top Bottom