Naomba msaada wa kupata kazi kama Graduate Trainee

Ukitu

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
216
Reaction score
181
Habari Jamii forums,

Mimi ni graduate kutoka chuo cha IFM , class of 2019 , nimesomea degree ya Banking and Finance.

Naomba msaada wa kupata kazi as Graduate Trainee , wakati tukiwa chuo nilipata nafasi ya kufundishwa na bank moja jinsi graduate trainee / graduate management inavyofanya kazi , nilitokea kuipenda sana lakini pia kuweza kufahamu napenda kufanya nini kwenye career yangu sababu nakuwa na zunguka departments mbalimbali hizi ni baadhi ya sababu.

CV yangu kwa ufupi;
a) Work Experience
1.Retention Team Leader - July 2021 - to date

2.Customer service representative ( retention specialist) - Feb 2021 to July 2021

Achievements;
-Awarded certificate of stunning performance first quarter- 2nd place
-Employee with highest collection of revenue May with KPI of 90%
-Over performed May target by 8% (108).

3.Social media marketer - Freelance (Dec 2019 - to date)

Achievements;
-Generated sales ( bookings)
-Generated leads
-Increased followers and website traffic.

4.Sales and Marketing Executive- (Oct 2019 - April 2020)

Achievements;
-Generated sales
-Generated leads

5.Field Attachment ( Practical Training)
Based on structured rotations, Investment, Finance & Sales .

b) Skills;

  • learning quickly ( social media marketing is self taught through online and i have succeeded working with different safari companies)
  • Customer retention
  • Customer service
  • Sales and Marketing
  • Digital marketing
Naomba msaada atakaye weza kusaidia hii ndoto yangu itimie ,ya kazi as graduate trainee.
Graduate trainee zinakuwa applicable mpaka miaka 2 mbele baada ya graduation huu ndo mwaka wangu wa mwisho kujaribu kutumiza ndoto yangu.
Nimejaribu kuomba sana ila sijafanikiwa, GPA yangu ni 3.2 mwenye msaada naomba anisaidie , kama utapenda kusoma zaidi cv yangu naomba uni pm.

Ahsante
 
Fatilia kcb wanatoaga nafasi za graduate trainee....zikitoka apply
 
Ambae anaweza kunisaidia katika hili plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…