bakuza
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 492
- 104
Naomba kusaidiwa kupata mwanasheria mzuri ili nikaandike wosia wangu. Nadhani inaeleweka ni jambo jema kuandika wosia mapema ili baadaye kusiwe na usumbufu kwa watoto na familia. Pia naomba kufahamishwa utaratibu wa kuandika wosia kwa mwanasheria.
Naomba anayejua basi anijulishe ama kwa PM ama kupitia Email: bakuzab@yahoo.com.
Natashukuru kwa ushirikiano wenu.
Naomba anayejua basi anijulishe ama kwa PM ama kupitia Email: bakuzab@yahoo.com.
Natashukuru kwa ushirikiano wenu.