Naomba msaada wa kurecover Gmail yangu

Ishemo

Senior Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
194
Reaction score
127
Habari za Asubuhi ndugu zangu,
Najaribu kulog in kwenye Gmail yangu ya zamani lakini sikubuki password na namba ya simu niliyo tumia zamani haipo Tena kwa hiyo nikiomba rest PIN NUMBER inashindikana
Nifanyeje?
Naomba msaada.
 
Habari za Asubuhi ndugu zangu,
Najaribu kulog in kwenye Gmail yangu ya zamani lakini sikubuki password na namba ya simu niliyo tumia zamani haipo Tena kwa hiyo nikiomba rest PIN NUMBER inashindikana
Nifanyeje?
Naomba msaada.
Nicherk 0754510072
 
Ungeoambania uipate namba ya simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…