profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Naamini ulimaanisha Colgate. Ni kweli. Inasaidia.Njia rahisi ya kwanza. Chukua collate changanya na maji. Paka kwenye kioo. Acha muda fulani safisha. Inasaidia kidogo.
asante mkuu,collate ni nini?Njia rahisi ya kwanza. Chukua collate changanya na maji. Paka kwenye kioo. Acha muda fulani safisha. Inasaidia kidogo.
nachanganya na maji baridi?au uvuguvugu?Naamini ulimaanisha Colgate. Ni kweli. Inasaidia.
naishi pori la BURIGI,huku ukipark vijana wanasafisha vioo tu vya gari,lakini dawa au detergent za kuondoa ukungu kwenye headlights mkuu.Unaishi pori gani? Mbona ukipark sehemu yoyote mjini vijana wanakuja kuomba kusafisha na madawa yao?
dawa za kuondoa ukungu kwenye headlights hawana mkuu...naishi pori la BURIGI,huku ukipark vijana wanasafisha vioo tu vya gari,lakini dawa au detergent za kuondoa ukungu kwenye headlights mkuu.
Nadhani ya uvuguvugu yanafaa zaidinachanganya na maji baridi?au uvuguvugu?
Hii huduma inafanywa sikuhizi kila sehemu hata huku mitaa ya gerezani kuna jamaa alisafisha taa zangu Kwa TSH 20000...Hao hapo.
Hii huduma inafanywa sikuhizi kila sehemu hata huku mitaa ya gerezani kuna jamaa alisafisha taa zangu Kwa TSH 20000...
Inasaidia Ila baada ya miezi 3 Hali ya ukungu inarudi tena kama zamani yaani ni magumashi Tu.
Fundi wangu alinishauri zifunguliwe taa zote ili zisafishwe Kwa njia ya kawaida
Jamaa aliniambia hicho kitu Ila nikapuuza.Ukishasafisha weka sticker za taa, zinasaidia ukungu kutorudi. Maeneo ya kumumba hapo wanafanya bei haizidi 30,000 kwa taa zote 2
Sticker za taa ndo zipoje?Ukishasafisha weka sticker za taa, zinasaidia ukungu kutorudi. Maeneo ya kumumba hapo wanafanya bei haizidi 30,000 kwa taa zote 2
sijui nikuelezeje kirahisi ila ni sticker zinakuwa clear, nyingine zinakuwa na rangi blue kwa mbali, na nyingine smoked. Wanabandika juu ya taa kama wanavyobandika tint. Clear ni nzuri kwa sababu haiathiri nguvu ya mwanga wa taa na mtu hawezi kujua kama umebandika kitu. Za blue zianonyesha kidogo ila pia zinapendeza, na haziathiri mwanga pia kama zile smokedSticker za taa ndo zipoje?
Mimi ninayo hii mashine na naiuza kwa bei nafuu kwa matumizi binafsi na biashara pia nichek kwa No 0659645794 au 0628462722