Elongo Junior
Member
- Apr 21, 2018
- 55
- 30
Mafundi na wataalamu wote wa ujenzi mliomo humu JF,
Naombeni MSAADA juu ya MAKADIRIO ya ujenzi wa eneo lenye urefu wa mita 31na upana wa mita 26.
Upande wa Saruji, mchanga na kokoto kwa ajili ya JAMVI
Naombeni MSAADA juu ya MAKADIRIO ya ujenzi wa eneo lenye urefu wa mita 31na upana wa mita 26.
Upande wa Saruji, mchanga na kokoto kwa ajili ya JAMVI