Naomba msaada wa masuala ya kifedha

Naomba msaada wa masuala ya kifedha

bway hermit

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2017
Posts
1,337
Reaction score
2,339
Habari zenu ndugu
Naomba kujua je $98.00 ni sawa na shilling ngapi kwa pesa ya Tanzania?

Pia ni jinsi gani ya kutuma pesa kwa money gram?
Asanten.
 
$ 98 KWA HELA YA KIBONGO NI 213090 (kwa exchange rate ya 2235)

Kuhusu money gram mi sio mtaalamu sana ila najua baadhi ya benki wanatoa hiyo huduma..nenda nadhani watakuelewesha kiundani zaidi (Exim...stanbic....diamond trust....crdb na nyinginezo)
 
Back
Top Bottom