Kama kuna mtu anasoma SUZA Zanzibar Naomba msaada wako tafadhari,
Naomba unisaidie kupata namba ya mtawala yeyote wa pale anae husika pale au kama una ndugu ako anasoma pale naombeni mnisaidie mimi napatikana kwa namba hizi.
0654463082 na 0759746825 plz nahitaji msaada wako tafadhari nakuombeni sana coz website yao haina msaada wowote naombeni sanaaa tafadhari
NB: unaweza nitumia hata namba ako mm nakutafuta naombeni.