Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,096
Nasikia hawafanyi kazi tena yani ni kama tawi limefungwa walikuwa na kesi wakashindwa so wakatakiwa kulipa wakashindwa, vitu vya ofisi vikachukuliwa, kwa habari nilizosikia ingawa sina uhakika
ooh vizuri, nilisikia NEXT COURIER ya LOAMAYANI ndo ameingia mkataba na FEDEX ili waweze endeleaAisee nakushkru sana kwa taarifa. Pia nimefanikiwa kupata mawasiliano yao na kwa taarifa tu ni kuwa bado wanaendelea na kazi, kampuni haijafungwa. Asante sana mkuu.
Kwa sasa naona ARAMEX ndo wapo fasta na efficient maana simu zao zinapokelewa fasta na ukiwaita dakika 20 nyingi washakufikia popte ulipo Dar. DHL, FedEx Chali
ooh vizuri, nilisikia NEXT COURIER ya LOAMAYANI ndo ameingia mkataba na FEDEX ili waweze endelea