Mawazo huru
Member
- Jul 7, 2011
- 13
- 1
Nina mama yangu kijijini ambaye alikuwa na ardhi yake nusu heka sasa ikatokea tetesi kwamba tigo wanataka jenga mnara pale, baada ya muda kwel wakaja jamaa ila wakasema wanataka ile ardh kwa ajili ya kujengea ofisi mama akawaambia nasikia mnajenga mnara na mm nitawauzia kama wajenga mnara, wakakataa hawatajenga mnara wakamdanganya mpaka yule mama akawauzia kwa milion 3 ndani kuna msingi wa nyumba na miti. Sasa baada ya muda kidogo wameanza jenga mnara wa tigo. Je hapo kisheria naweza fanya lolote kumusaidia mama yangu