Naomba msaada wa mawazo (kisheria) ktk hili lifuatalo

Kuna kanuni inaitwa none est factum, watafute wataalamu waangalie kama wanaweza kuitumia.
 
Kaka utapoteza muda wako buree kupambana na "system", na hutaambulia kitu. Ni PM nikupe maelezo practical zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…