Naomba msaada wa mawazo kuhusu jambo hili!

Naomba msaada wa mawazo kuhusu jambo hili!

Joined
Oct 26, 2012
Posts
93
Reaction score
22
Nina kihasi kidogo cha pesa kama 160,000 hivi kwa hio naomba mwenye uzoefu wa biashara ndogo ndogo kwa hapa dar kwa kiwango hiko kidogo cha pesa naweza kufanya biashara hipi.naomba mawazo yenu wakuu mwanzo mgumu
 
unaweza kwenda kudaka nguo za mtumba mwenge au karume then ukawauzia watu maoficn.kama ww ni mkaka unaweza kununua mashati mazuri ya mtumba then unaenda kuwabamiza mabishooo maoficn au ata viatu vya mtumba.

naweza kukupa mfano hai kwangu mm mwenye mimi nilikua na mtaji wa 70000 nikaenda kwenye kudaka mitumba mwenge na karume nikapata nguo zangu nzuri tu za hyo bei nikaja nikazifua na kupiga pasi ,nikaanza kuzipitisha maofficn nawauzia wafanyakazi,namshukuru Mungu napata vijihela vyangu nimekua co tegemezi tena.
 
unaweza kwenda kudaka nguo za mtumba mwenge au karume then ukawauzia watu maoficn.kama ww ni mkaka unaweza kununua mashati mazuri ya mtumba then unaenda kuwabamiza mabishooo maoficn au ata viatu vya mtumba.

naweza kukupa mfano hai kwangu mm mwenye mimi nilikua na mtaji wa 70000 nikaenda kwenye kudaka mitumba mwenge na karume nikapata nguo zangu nzuri tu za hyo bei nikaja nikazifua na kupiga pasi ,nikaanza kuzipitisha maofficn nawauzia wafanyakazi,namshukuru Mungu napata vijihela vyangu nimekua co tegemezi tena.

safi sana mkuu!
 
unaweza kwenda kudaka nguo za mtumba mwenge au karume then ukawauzia watu maoficn.kama ww ni mkaka unaweza kununua mashati mazuri ya mtumba then unaenda kuwabamiza mabishooo maoficn au ata viatu vya mtumba.

naweza kukupa mfano hai kwangu mm mwenye mimi nilikua na mtaji wa 70000 nikaenda kwenye kudaka mitumba mwenge na karume nikapata nguo zangu nzuri tu za hyo bei nikaja nikazifua na kupiga pasi ,nikaanza kuzipitisha maofficn nawauzia wafanyakazi,namshukuru Mungu napata vijihela vyangu nimekua co tegemezi tena.

Good. Mungu azidi kukubariki
 
Back
Top Bottom