Naomba msaada wa mawazo kuhusu VISA

Conroy

Senior Member
Joined
May 23, 2014
Posts
158
Reaction score
44
hivi ikiwa mtu yupo Dubai na anataka kuja Dar, Visa atagongewa huko huko au anakuja kugongewa hapa Tz?
 
hivi ikiwa mtu yupo Dubai na anataka kuja Dar, Visa atagongewa huko huko au anakuja kugongewa hapa Tz?

Fafanua vizuri. Dubei una pasi ya emirate au ya nchi gani ila viza ya nchi nyingi unaweza kuchukulia airport dar au ubalozi wa tz nchini UAE
 
Swali lako bado halieleweki. Huyo mtu ni raia wa wapi, na anataka visa ya kuishi nchi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…