isley
Member
- Sep 24, 2016
- 48
- 83
Nataka kuhamia kwangu mwaka huu nimepiga nyumba plasta Bado kuweka vifaa vya umeme awamu ya pili, Bado draft na vingine vingi.. je nikitafuta hela ya madirisha yanaweza kuwekwa bila kufanya skimming ili nihamie mengine nitaendelea nayo taratibu? Na je kabla ya kuweka madirisha ya aluminium ni lazima nipige rangi nyeusi kwenye madirisha?
Shimo la choo Bado ila chemba zote tayari, napata utata wa mashimo wengine wanasema nichimbe mawili wengine moja Sina uzoefu hapo Bado namtafuta mawazo
Shimo la choo Bado ila chemba zote tayari, napata utata wa mashimo wengine wanasema nichimbe mawili wengine moja Sina uzoefu hapo Bado namtafuta mawazo