Mariam Aliko
Member
- Jul 20, 2021
- 10
- 9
Habari wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu mimi niko mwanza nina mtaji wa Mil 2 sijui nifungue biashara gan kwa huu mtaji wangu mawazo yenu wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mimi ni mwanamkeBiashara pia zinaendana na jinsia au ww unae ujuzi gan
Mnao omba ushauri wa biashara pia kumbukeni kuweka jinsia zenu,Ili tuwashauri vizur
AsanteUza chakula
Ni kweli hatari ipoKupata hela na ndo uanze kufikiria ufanye nini hapo hela inakua ipo kwenye hatari ya kupotea, kuwa mtulivu fanya utafiti wa biashara mbalimbali jitathmini ipi utaweza na uanze taratibu usikurupuke
Kipindi hiki cha mavuno biashara ambayo unayoweza kuifanya ni kununua viatu vya masai zile sandals, unaweza u kazi pata kwa sh 5000 kila pair kwa Dar es Salaam hasa maeneo ya Manzese. Wewe ukachukua hata 100pcs ukaanza kuwauzia ndugu zako Wasukuma kwa shilingi 12,000 mpaka 15,000 kwa kila pair. Utapata hela lakini kuwa makini na matapeliHabari wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu mimi niko mwanza nina mtaji wa Mil 2 sijui nifungue biashara gan kwa huu mtaji wangu mawazo yenu wadau
Asante nimeipenda wazo lakoKipindi hiki cha mavuno biashara ambayo unayoweza kuifanya ni kununua viatu vya masai zile sandals, unaweza u kazi pata kwa sh 5000 kila pair kwa Dar es Salaam hasa maeneo ya Manzese. Wewe ukachukua hata 100pcs ukaanza kuwauzia ndugu zako Wasukuma kwa shilingi 12,000 mpaka 15,000 kwa kila pair. Utapata hela lakini kuwa makini na matapeli
Kipindi hiki cha mavuno biashara ambayo unayoweza kuifanya ni kununua viatu vya masai zile sandals, unaweza u kazi pata kwa sh 5000 kila pair kwa Dar es Salaam hasa maeneo ya Manzese. Wewe ukachukua hata 100pcs ukaanza kuwauzia ndugu zako Wasukuma kwa shilingi 12,000 mpaka 15,000 kwa kila pair. Utapata hela lakini kuwa makini na matapeli
Bado napokea mawazo yenu wadauHabari wapendwa naomba msaada wa mawazo yenu mimi niko mwanza nina mtaji wa Mil 2 sijui nifungue biashara gan kwa huu mtaji wangu mawazo yenu wadau
NyegeziUko mwanza sehem gan kwanza