Naomba msaada wa mawazo

lnx

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2016
Posts
387
Reaction score
294
Nina mwanangu ana umri wa miezi 13 sasa lakini tatizo lake hataki kula chochote isipokuwa anataka kunyonya tu kwa mama, sasa nifanyeje huyu dogo apate kula walau kidogo?
 
Nina mwanangu ana umri wa miezi 13 sasa lakini tatizo lake hataki kula chochote isipokuwa anataka kunyonya tu kwa mama, sasa nifanyeje huyu dogo apate kula walau kidogo?
asishinde karibu na mama yake...akishinda na watu wengine mfano dada ataweza kula chakula sababu atapata njaa na nyonyo haipo
 
Ila hua inatokea kwa watoto wengi wanaochelewa kula hua wanakalili nyonyotuu ila jitahidi mamaake akae muda mrefu bila kunyonya hadi upate njaa ataanza kula maana akiwa nanjaaatataka kula so kabla hajanyonya mpe chakula
 
Pia pendelea kumpa vya kula vyingi vingi tofauttofaut ili ujue ni kipindi anapendelea maana hata Kama anakataa ila kuna ambacho hua wanapenda
 
Jaribu mtu mwingine ndo ampe chakula na sio wewe. Pia usiwe karibu wakati anapewa chakula. Pole
 
Pia pendelea kumpa vya kula vyingi vingi tofauttofaut ili ujue ni kipindi anapendelea maana hata Kama anakataa ila kuna ambacho hua wanapenda
Ok, thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…