Kwenye ads naona wengi wanaulizia tu, hawanunuiNadhani ni kulipia ads,ambaye anajua kulipia insta, tweeter,fb n.k atuelekeze tunalipiaje
Kuna hii kitu inaitwa Instagram or Facebook promotion.yani Instagram or Facebook wenyew wanakuletea wateja Kwa kuwaonyesha bidhaa zako walengwa wanaita Sponsored Aid.Naomba msaada wa mbinu za kupata wateja online ukiachana na kupost FB.
Nimekua na utaratibu wa kupost matangazo yangu ya biashara online kupitia fb zile business groups na naona outputs ni ndogo sana. Wakuu ni sehemu zipi nyingine naweza kupost matangazo ya biashara na nikavuna wateja?
Au nitumie mbinu zipi nyingine niweze kuvuna wateja?
NiongezeeeeTumia What'sApp groups na What'sApp Status utakuja nishukuru...
.
Hapa unatakiwa uwe na contacts nyingi What'sApp usave...Unazipata vp hizi contacts?...
.
Unazipata Facebook, Instagram na kwenye What'sApp groups...
.
Kikubwa jifunze Copywriting tu.
Naunga mkono hojaNiongezeeee
Utafanya Kila kitu sijui organic posts,sponsor ads sijui influencers sijui magroup ya Whatsapp sijui status sijui bulk sms lakin kama huna copy writing skills wateja wataishia kulike wakijitahidi watakutafuta watakuulizia na kusepa acha uvivu soma digital marketing just misingi tuu bas itakusaidia
Tangazo lako unalipia kwa Muda gani lionekane ?Lipia matangazo mkuu,kuna Instagram ads na Facebook ads
Mimi natumia sana Instagram ads na matokeo nayapata
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kwa kila tangazo huwa nalipia kuanzia siku tatu na kuendeleaTangazo lako unalipia kwa Muda gani lionekane ?
Copywriting hii ipoje mkuu ufafanuzNiongezeeee
Utafanya Kila kitu sijui organic posts,sponsor ads sijui influencers sijui magroup ya Whatsapp sijui status sijui bulk sms lakin kama huna copy writing skills wateja wataishia kulike wakijitahidi watakutafuta watakuulizia na kusepa acha uvivu soma digital marketing just misingi tuu bas itakusaidia
Ingia youtube search "copywritting".Copywriting hii ipoje mkuu ufafanuz
Ulikuwa ni mzigo wa bidhaa gani chif!!!?Kwa kila tangazo huwa nalipia kuanzia siku tatu na kuendelea
Mfano mara ya mwisho mzigo ulibakia piece 5 nikalipia tangazo la siku 4 kwa budget ya $16
Niliuza piece zote tano
DronesUlikuwa ni mzigo wa bidhaa gani chif!!!?
Sawa mzee, vipi lakini na facebook ads si inasadia pia kuwafikia watu wengi kama ilivyo insta?Drones