Naomba msaada wa Muongozo wa kuanzisha kikundi cha kuinuana kiuchumi/Saccos

Naomba msaada wa Muongozo wa kuanzisha kikundi cha kuinuana kiuchumi/Saccos

Chigwiyemisi

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
531
Reaction score
228
Wadau nawasalimu.Mimi na wenzangu tumeamua kuanzisha kikundi ambacho kitakuwa na malengo ya kujiendeleza na kubadilishana mawazo na utaalamu. Ni kama SACCOS lakini tunategemea kuwa na malengo mtambuka. Naomba yeyote mwenye SAMPLE ya katiba au document yoyote ambayo itatupatia muongozo wa kuanzisha kikundi chetu au SAMPLE ya katiba ya kikundi kama tunachotegemea kuanzisha aniwekee hapa jamvini itusaidie!Natanguliza shukurani.
 
Mkuu hongera kwa kutaka kujikwamua na umasikini

- Ila naomba uelewe vifuatavyo
1. Kikundi na SACCOS ni vitu viwil tofauti kabisa

2. Uanzishwaji wa SCOS ina idadi ya members na kikundi kina idadi ya members

3. Na SACCOS mara nyingi inadili na kuweka na kukopa na sijajua kama ndo lengo lenu la kuweka na kukopa

4. Kikundi ndo kinaweza fanya mambo mengi hata likiwemo la kuweka na kukopa

5. Mkianzisha kikundi kuna furusa za kibiashara mnaweza kuzikosa kwa sababu kikundi kufanya biashara na makampuni inakuwa ngumu kidogo na mtakuwa mnabanwa na sheria za vikundi na mambo ya TRA

6. kama mko siriaisi na kama mmeisha jipanga na tiyali mna mawzo yenu ya biashara mnaweza tu fungua kampuni ya mtaji mdogo na hata mkienda TRA kitengo cha Elimu kwa walipa kodi watawapa elimu ya Ulipaji kodi ya makampuni mtaona kwamba ni rahisi sana kuliko kuogopa kampuni kisa TRA,

7. Kwa dunia tuliyopo sasa kampuni inaply sehemu kubwa sana katika kufanya biashara yoyote ile na si kwamba kampuni kuindesha ni mpaka muwe na mtaji wa mamilioni, no kuna kapnu zinasajiriwa kisheria na zinamitaji ya elfu 80, tu
 
Mkuu hongera kwa kutaka kujikwamua na umasikini

- Ila naomba uelewe vifuatavyo
1. Kikundi na SACCOS ni vitu viwil tofauti kabisa

2. Uanzishwaji wa SCOS ina idadi ya members na kikundi kina idadi ya members

3. Na SACCOS mara nyingi inadili na kuweka na kukopa na sijajua kama ndo lengo lenu la kuweka na kukopa

4. Kikundi ndo kinaweza fanya mambo mengi hata likiwemo la kuweka na kukopa

5. Mkianzisha kikundi kuna furusa za kibiashara mnaweza kuzikosa kwa sababu kikundi kufanya biashara na makampuni inakuwa ngumu kidogo na mtakuwa mnabanwa na sheria za vikundi na mambo ya TRA

6. kama mko siriaisi na kama mmeisha jipanga na tiyali mna mawzo yenu ya biashara mnaweza tu fungua kampuni ya mtaji mdogo na hata mkienda TRA kitengo cha Elimu kwa walipa kodi watawapa elimu ya Ulipaji kodi ya makampuni mtaona kwamba ni rahisi sana kuliko kuogopa kampuni kisa TRA,

7. Kwa dunia tuliyopo sasa kampuni inaply sehemu kubwa sana katika kufanya biashara yoyote ile na si kwamba kampuni kuindesha ni mpaka muwe na mtaji wa mamilioni, no kuna kapnu zinasajiriwa kisheria na zinamitaji ya elfu 80, tu

Mkuu Chasha nashukuru sana kwa maelezo na ushauri wako. Kwa hakika umenipa ufafanuzi mzuri sana pamoja na kwamba ni kwa ufupi lakini nimepata mwanga. Naamini kuwa una uelewa mpana sana wa masuala haya, kama inawezekana naomba tuwasiliane nje ya jamvi ili uwe msaada kwangu na kwa wenzangu!
 
mkuu chasha nashukuru sana kwa maelezo na ushauri wako. Kwa hakika umenipa ufafanuzi mzuri sana pamoja na kwamba ni kwa ufupi lakini nimepata mwanga. Naamini kuwa una uelewa mpana sana wa masuala haya, kama inawezekana naomba tuwasiliane nje ya jamvi ili uwe msaada kwangu na kwa wenzangu!

poa mkuu usijari tuko pamoja
 
napenda kukushauri biashara ni wazo ulilonalo hayo mnayowaza ndo yawekeni kwenye maandishi kwani ndo malengo yenu ukipewa sample ya katiba utakuwa unatumia mawazo ya wengine huenda ukasumbuka kufikia lengo.
na kama itabidi kutumia katiba ya vikundi vingine iwe kuboresha mlichokwisha andaa.
MY TAKE.

HONGERA KWA KUTHUBUTU UNAWEZA NA UTAFANIKIWA WEKA BIDII MBELE.
 
napenda kukushauri biashara ni wazo ulilonalo hayo mnayowaza ndo yawekeni kwenye maandishi kwani ndo malengo yenu ukipewa sample ya katiba utakuwa unatumia mawazo ya wengine huenda ukasumbuka kufikia lengo.
na kama itabidi kutumia katiba ya vikundi vingine iwe kuboresha mlichokwisha andaa.
MY TAKE.

HONGERA KWA KUTHUBUTU UNAWEZA NA UTAFANIKIWA WEKA BIDII MBELE.

Mkuu, katiba sio objectives pekee, kwa hiyo wanaweza wakatofautiana kwenye objectives na bado mfumo wa uandishi wa katiba ukaendana.
You don't need to reinvent the wheels katika mazingira haya
 
mtafute mwenyekiti wa JE Saccos , hii ni saccos iliyoanzishwa kwa kupitia platform ya JF

yupo humu kwa Id ya "The Finest" atakusaidia
 
Back
Top Bottom