Mahali sio ndo hilo la kwanza..lakini kama mme kaa wote zaidi ya miaka miwili "under single roof" kuna kuwa na presumption of marriage na swala la mtoto sheria inaangalia the best interest of a child mara kwa mara mama ndo atakaa nae mpaka miaka saba.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums